Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,213
- 99,974
Kuna kiongozi WA chama Fulani huwa rafiki zake wanamuita Baunsa.....ngoja nikale kwanza
mweeee......mimi sitaki wa club......au fasheni shoo.......khaaaa.......kwanza hawana hela.......
inakera sana hii tabia! ila pia wale mabaunsa ambao sio mashoga nao ni machangu wanajiuza kwa wamama watuwazima au wadada wenye nafasi zao. huwezi kuamini lakini nao wanajipanga na kukimbilia gari kama mabinti wafanyavyo! temebelea vilabu vya usiku mjini...
Hii ya mabaunsa ina ukweli kiasi fulani
kwa kweli inatia kichefu chefu,shida ni umaskini,fashion au nini jamani?Mungu atueoushe
Mabaunsa maana yake nini? Na una takwimu zozote zinazo-support madai yako?
Manake magay wapo wa kila aina - kuna wanasheria 'wasomi' ambao ni magay, kuna mapadri. maaskofu, na mashehe ambao ni magay, kuna maprofesa ambao ni magay, kuna wanajeshi ambao ni magay, kuna madaktari ambao ni magay, kuna wanamichezo ambao ni magay....
Kwa kifupi ugay hauna umbile, daraja, taaluma, kada, fani, rangi, dini, kabila, jinsia, wala utaifa. Sasa sijui nyinyi hayo ya mabaunsa mmeyatoa wapi tu. Au mnafanya nao huo ugay?
Duuu Nyani Ngabu nakuheshimu sana! ila sidhani km nimekuelewa vema! unasema????
nyakati ndio tatizo, usiwaze sana!
Hamna neno, hebu twende taratibu na ni imani yangu tutaelewana tu.
Tuanze na fasili baunsa ambalo ni neno lililoazimwa toka kwenye Kiingereza. Fasili ama definition ya bouncer ni nini?
kweli mkuu,ila we need to fight against it
Hamna neno, hebu twende taratibu na ni imani yangu tutaelewana tu.
Tuanze na fasili ya baunsa ambalo ni neno lililoazimwa toka kwenye Kiingereza. Fasili ama definition ya bouncer ni nini?
Mkuu neno lililotoholewa kutoka lugha moja kwenda nyingine sio lazima liwe na maana ileile, inaweza kuwa na maana inayoshabihiana au landana na linaweza kuwa tofauti kabisa na neno la asili, cha muhimu ni kwa ile lugha kulitumia lile neno kwa ufanisi kwa maana ya kufikisha ujumbe bila kuwa na kikwazo
hivyo neno bouncer la kiingereza na baunsa la kiswahili yanaweza kuwa na maana tofauti japo yanaweza kuwa na asili moja
na hilo sio neno la kwanza, yapo mengi sana kwenye kiswahili, lipo neno jungle-jungly lenye asili ya Kihindi na kisha kiingereza na kiswahili tukapata neno Jangili