alexmahone
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 482
- 408
Salaam.,
Juzi nilikuwa kwenye kijiwe cha kahawa, na wadau kadhaa tukipeana stori mbili tatu huku mzee Toboa tobo na kijana Razack machuma wakionyeshana ubabe kwenye bao.Dakika kadhaa za mchezo mzee Toboa T, alitangaza ndoa kwa kijana Machuma baada ya kumpiga bao tulichosikia ni ' Nshakuoa Yakhe, na ulivonona hivyo, motoo ntakuwashia leo ngoja nikafukue mafuta yngu ya zeituni maana K*Y ya wazungu bhana.
Nikamwambia weh mzee baunsa kama huyo , hata akikupa utapitisha wapi tumbaku kila sehemu misuli.Alichonijibu ni kwamba fanya uchunguzi kijana,Mabaunsa ndio wanaotafunwa kwa sasa tena wale wa Club ndo rahisi sana kuwapata, wale wa Fashion show ni maharagwe ya mbeya.Tulichekaa sana ila mi sikuishia pale,nikatua FB nijaribu kucheki profile zao.Hakika Mzee Toboa T alikuwa sahihi.Jionee mwenyewe hapo chini.
Juzi nilikuwa kwenye kijiwe cha kahawa, na wadau kadhaa tukipeana stori mbili tatu huku mzee Toboa tobo na kijana Razack machuma wakionyeshana ubabe kwenye bao.Dakika kadhaa za mchezo mzee Toboa T, alitangaza ndoa kwa kijana Machuma baada ya kumpiga bao tulichosikia ni ' Nshakuoa Yakhe, na ulivonona hivyo, motoo ntakuwashia leo ngoja nikafukue mafuta yngu ya zeituni maana K*Y ya wazungu bhana.
Nikamwambia weh mzee baunsa kama huyo , hata akikupa utapitisha wapi tumbaku kila sehemu misuli.Alichonijibu ni kwamba fanya uchunguzi kijana,Mabaunsa ndio wanaotafunwa kwa sasa tena wale wa Club ndo rahisi sana kuwapata, wale wa Fashion show ni maharagwe ya mbeya.Tulichekaa sana ila mi sikuishia pale,nikatua FB nijaribu kucheki profile zao.Hakika Mzee Toboa T alikuwa sahihi.Jionee mwenyewe hapo chini.