kilamba lamba
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 427
- 738
Aiseee Leo jua kama limewahi kuchomoza hivi . siyo mbaya mu wazimia wana MMU.
Kuna wanaume wanajifanya wagumu sana kwenye mahusiano yao , yaani wao kuyapeleka peleka kibabe mahusiano ndo zao , Mara mchumba atakula kofi bila kosa la msingi, Mara mama mtu anafokewa fokewa tu ukimuuliza anakwambia ndo uanaume inabidi uwapeleke kijeshi .
Amini nakwambia watu wapole kama sisi tunagongewa baridi kiroho safi lakini wanaume wababe wababe ndo wanaongoza kwa kupelekeshwa na mapenzi , yaani ni kazi rahisi sana kutoka na demu wa mwanaume mbabe kuliko mwanaume mpole na mnyenyekevu
NB: weka akilini hilo utakuja kunishukuru baadae, ukibisha wewe ni nani ambaye hujawahi kugongewa
Kuna wanaume wanajifanya wagumu sana kwenye mahusiano yao , yaani wao kuyapeleka peleka kibabe mahusiano ndo zao , Mara mchumba atakula kofi bila kosa la msingi, Mara mama mtu anafokewa fokewa tu ukimuuliza anakwambia ndo uanaume inabidi uwapeleke kijeshi .
Amini nakwambia watu wapole kama sisi tunagongewa baridi kiroho safi lakini wanaume wababe wababe ndo wanaongoza kwa kupelekeshwa na mapenzi , yaani ni kazi rahisi sana kutoka na demu wa mwanaume mbabe kuliko mwanaume mpole na mnyenyekevu
NB: weka akilini hilo utakuja kunishukuru baadae, ukibisha wewe ni nani ambaye hujawahi kugongewa
