KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
2015 wakikutosa tena ubunge, ingia chama cha "V". Kiukweli unastahili wewe mdada, kuwa mbunge wa kuwatetea wasiojiweza na vilema
Kile kipindi chako cha ShAJARA,,,hasa paleulipomshika mwenye ukoma na mwenye vidonda vinavyotoa funza!! mimi hata nipewe mchumba sealed, afu bure, siwezi.
Kwanza huwa nafunga macho na hapo ni kwenye TV,,nikiona live nadhani naweza zimia kabisa, au kufa kwa njaa.
Big UP Dada.
Kile kipindi chako cha ShAJARA,,,hasa paleulipomshika mwenye ukoma na mwenye vidonda vinavyotoa funza!! mimi hata nipewe mchumba sealed, afu bure, siwezi.
Kwanza huwa nafunga macho na hapo ni kwenye TV,,nikiona live nadhani naweza zimia kabisa, au kufa kwa njaa.
Big UP Dada.