Mwanamke hana sifa za kuwa kiongozi kwenye taifa lolote lile....na muendelezo wa kuwachagua wanawake watuongoze baada ya kutunza familia ni dalili za mwisho wa dunia kwani mwanamke ni kiumbe dhaifu sana na hata yeye mwenyewe analijua hilo.....
Mwanamke hana sifa za kuwa kiongozi kwenye taifa lolote lile....na muendelezo wa kuwachagua wanawake watuongoze baada ya kutunza familia ni dalili za mwisho wa dunia kwani mwanamke ni kiumbe dhaifu sana na hata yeye mwenyewe analijua hilo.....
Wewe nae hebu tutolee zile mila kandamizi za wachagga dhidi ya wanawake hapa.
Wewe mbona umezaliwa na mwanamke, mama yako alikuuza hadi useme kua Amina akiwa Rais nchi itauzwa?
Toka nchi ipate Uhuru tunaongozwa na wanaume, wamefanya nini cha ajabuu, si ndo hao waliotutoa KULEEE na KUTULETA HAPAAAA....Ni zamu yetu hebu tuacheni....
Mwanamke hana sifa za kuwa kiongozi kwenye taifa lolote lile....na muendelezo wa kuwachagua wanawake watuongoze baada ya kutunza familia ni dalili za mwisho wa dunia kwani mwanamke ni kiumbe dhaifu sana na hata yeye mwenyewe analijua hilo.....
and this includes your mother,..unajua our comments/ideas/suggestions lie from. what we observe and what we learn from our onservations, inasikitisha kwamba in all your years of life hiki ndicho ulichojifunza from your observations
Mwanamke hana sifa za kuwa kiongozi kwenye taifa lolote lile....na muendelezo wa kuwachagua wanawake watuongoze baada ya kutunza familia ni dalili za mwisho wa dunia kwani mwanamke ni kiumbe dhaifu sana na hata yeye mwenyewe analijua hilo.....
Wanawake hawapendani wao kwa wao ndio udhaifu wao mkubwa ,wanaoneana gere mtu kaleta wan awake 2 mums mmoja laminitis meme salute mwenzenu Kabwe hamtapata raha tena mp aka mtakapofunguka, an kchukua hatua