Wewe umeharibika!
Duh, wanawake mlioolewa mna kazi kweli juu ya nani wa kuajiri kama mfanyakazi wa ndani..
Wa kike baba mwenye nyumba atamla uroda, wa kiume atamla uroda Baba mwenye nyumba..
Salaale........
"Inna Swalata Kannat Ala'l Muuminina Kitaban Mawkuta"
Mi nikimfuma nanunua doli langu namwambia atulie ndani nimshughulikie aio kuhangaika na kujidhalilisha
Mi nikimfuma nanunua doli langu namwambia atulie ndani nimshughulikie aio kuhangaika na kujidhalilisha
kama sijakoea,anasema swala kwa waumini imewekewa muda maalum
Tafsiri ya kiswahili tafadhali.
Naweza sana maana hapo atakuwa labda tumezaa watoto na nataka nikae nae hapo home ili asiwachanganye watoto na kuwadhalilisha mtaani, bora nimpe bakora zake tu mbona yanauzwa?Mh siater? utaweza kweli walivokomaa
Sasa utafanyaje na unataka atulie asidhalilishe familia, tena lile wala halimdhuru sababu hakuna kucheua
Duh kazi kweli kweli BB mtata.
Duh huyu wangu anaweza kuniua nikigusa hizo sehemu lolusisubiri kumfuma weye anza taratibu..utaona tu linavyorembua macho
Shalom wana jamvi.
Kuna rafiki yangu ameolewa na the most handsome boy, lakini huyu mwanamume tulipokuwa tunasoma chuo ilikuwa inasemekana anapigwa miti na prof.
Baada ya miaka kadhaa tangu tumalize shule akamuoa rafiki yangu, lakini sikuwahi kumjulisha kuwa mumewe chips mayai (anageuzwa).
Juzi kilicho tokea ni kwamba amemfuma laivu mumewe akipigwa fimbo sita assemble (sebuleni) na hausi boy wake, na mke amekosa huduma kwa miezi minne sasa kwa kuwa roketi ya mumewe haipai.
Je kuna uhusiano gani kati ya kugeuzwa na upungufu wa nguvu za kiume?