Amfumania mumewe akipopolewa na hausi boy

Hii tabia ya u-bwabwa imeanza kuota mizizi kwenya jamii na kale kapublicity ka gays kanazidi kuzamisha jahazi la utu wa mwanaume.
 
Duh, wanawake mlioolewa mna kazi kweli juu ya nani wa kuajiri kama mfanyakazi wa ndani..
Wa kike baba mwenye nyumba atamla uroda, wa kiume atamla uroda Baba mwenye nyumba..

Salaale........

wanaume NOOOMA!!!... WALA/WALIWA!
 
Isee hilo balaa zito... hakuna ndoa tena hapo ni kuachana tu, NO OPTION. na mdada anaruhusiwa kuolewa na mwingine, na aendelee kufurahia maisha.
 
zaman ilikuwa kuzaa mtoto wa kiume raha,but now ni presha kupanda na kushuka.
 
kama ni kweli imethibitika alikuwa akifanya mchezo huo mke hana haja ya kulia, achape lapa akatafute mwanamume wa ukweli huyo hafai. anataka agundue lipi zaidi ya hilo? kama mume anaweza kuthubutu kumtamkia houseboy njoo nifanye hivi kweli huyo nae mume? neno mume linamaana kubwa sana sio tu kwa kuwa amekuoa basi afaa kuwa mume aachane nae. ingekuwa amemkuta na mwanamke hilo angalau linazungumzika lakini akigeuzwa no thank you ingekuwa mie nimeshaishia kitambo. na hawa watumishi jamani tuwe tunawachunguza chunguza, mie nimewahi kuishi na houseboy kumbe uck anatoka servant quarter anaenda baa ya karibu na home huko anatafuta wanaume wa kumshughulikia niliyajua hayo baada ya yeye kufichuliana siri na hgirl kuwa ananiibia vyomb o vya ndani kupeleka kwa wanaume ndio na hgirl akatoa siri ya kuwa huyo hboy ni ******!! i was shocked....
 
Kuna haja gani ya kuoa wakati anajua kuwa yeye mwenyewe ni mwanamke?Inawezekana mwanamke kumwoa mwanamke mwenzie?
 
Mh siater? utaweza kweli walivokomaa
Naweza sana maana hapo atakuwa labda tumezaa watoto na nataka nikae nae hapo home ili asiwachanganye watoto na kuwadhalilisha mtaani, bora nimpe bakora zake tu mbona yanauzwa?
 
Shalom wana jamvi.
Kuna rafiki yangu ameolewa na the most handsome boy, lakini huyu mwanamume tulipokuwa tunasoma chuo ilikuwa inasemekana anapigwa miti na prof.
Baada ya miaka kadhaa tangu tumalize shule akamuoa rafiki yangu, lakini sikuwahi kumjulisha kuwa mumewe chips mayai (anageuzwa).
Juzi kilicho tokea ni kwamba amemfuma laivu mumewe akipigwa fimbo sita assemble (sebuleni) na hausi boy wake, na mke amekosa huduma kwa miezi minne sasa kwa kuwa roketi ya mumewe haipai.
Je kuna uhusiano gani kati ya kugeuzwa na upungufu wa nguvu za kiume?

Unajua bwabwa anapo pigwa nyuma fimbo yake inasimama ili kumaliza hisia zake ile fimbo yake inakamatwa nakunyongwa chini inasinyaa tendo hili likiendelea mara kwa mara anapoteza hisia za mbele na hisia zinarudi nyuma anakuwa anapata hisia tamu nyuma kuliko mbele.
Mwambie shosti wako aachane na huyo bwabwa
 
Back
Top Bottom