Ameshajua nampenda, basi ndio ananikomoa

Ameshajua nampenda, basi ndio ananikomoa

Senior Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2011
Posts
3,405
Reaction score
3,701
Habarini wakuu,

Sijui naanzaje kueleza maana nshachanganyikiwa anyway let me try.

Ni hivi, kuna mwanamke mmoja nina mahusiano nae takribani miaka miwili na nusu sasa. Sio siri/utani huyu mwanamke nimetokea kumpenda sanaa haijawahi tokea tena maishani mwangu yote kutokana na mambo aliokua akinifanyia.

Imefikia kiwango cha kuachana na mchumba wangu niliekuwa na malengo nae hapo awali instead nika fall kwa huyu mwanadada mwingine. Katika kipindi chote cha kuwa na mahusiano nae tumekua na ukaribu sanaa kiasi cha kusema tunaishi kama mke na mume.

Miezi 9 nyuma nili note kwamba uhusiano wetu unaenda ukififia, mazoea yame pungua. We don't hang out or talk often, hanichangamkii tena kama zamani and stuff like that nikahisi labda ana mtu mwingine au nimemuonyesha sanaaa hisia zangu kwake kiasi cha yeye kutumia hiyo kama silaha kuniumiza kichwa coz nahisi ameshajua nshazimika kwake mazima.

Sasa kukata mzizi wa fitina nikaamua kuachana nae na kumwambia kila mtu ale na time zake kwani mimi nilishakua na mtu hapo awali, istoshe nina yangu mengi ya kufanya. Issue inakuja yeye akakubali tuachane na wala haionyeshi kumkwaza wala kuumia kwamba nimeachana nae.

Siwezi sema ana mtu mwingine coz nimeshamchunguza sanaa na inaonyesha hana mwanaume mwingine, ni binti aliye in her mid 20's. Asa huku upande wangu nakua kama sitaki nataka.

Nikimuangalia mwenzangu naona anazidi kunawiri tu na mi huku nakonda kwa mawazo na kumiss penzi lake. Asa wakuu hebu mnishauri mwanamke wa namna hii namfanyaje ili na yeye aumie roho na kutamani kurudiana na mimi.

Kumuacha nimemuacha mwenyewe ila ni vile kama naona naumia mimi zaidi yeye walaa. Mwisho wa siku inakua kama mimi ndio najipendekeza kwake turudiane.

Mi nafkiri nimeeleweka, ( i'm confused ) sijawahi kuburuzwa na mwanamke kiasi hichi.
 
Pole mkuu ndio ukubwa huo.

I'm a grown man nd i kno such things. Lakini hii kitu imenifanya niwe kama mjinga flan hvi najishangaa sanaa at tyms. I feel like she z tha only woman on earth and i gotta win her. USIOMBE UKAPENDA AISEE. Dah !!
 
Hahahaaaaa! Wapi Osokoni movement! Pole! Sina la kusema yakheee!

Nachotaka na yeye aumie roho, awe na wivu na kuonyesha kunihitaji. Kila nikimuangalia naona nakonda mimi tu huku yeye mtoto anazidi kung'aa tu. Kibaba nimekua kama sungura mjanja " Sizitaki mbichi hizi " lakini deep inside kiroho kinauma. Dah. At tymz mpaka naogopa wajanja wasije wakani wahi.
 
kudadeki! wee tatizo laana hiyo ya kumbwga mchumba wako wa zamani.
sasa kama ananawili wee enda mpofue macho mwana alafu ujipige risasi to put urself out of this misery
 
kudadeki! wee tatizo laana hiyo ya kumbwga mchumba wako wa zamani.
sasa kama ananawili wee enda mpofue macho mwana alafu ujipige risasi to put urself out of this misery

Hebu acha utani man.. we hujawahi kupenda nini ?? Mtoto wife material kupita maelezo !!!
 
Nachotaka na yeye aumie roho, awe na wivu na kuonyesha kunihitaji. Kila nikimuangalia naona nakonda mimi tu huku yeye mtoto anazidi kung'aa tu. Kibaba nimekua kama sungura mjanja " Sizitaki mbichi hizi " lakini deep inside kiroho kinauma. Dah.

Hapo sasa ndo inanibidi kutumia ung'eng'e wa Madam Sepetu wa Sepetunga! DO THE UNEXPECTED,! Girls love the unexpected all the time! Well i do all yhe time!

Yeye hapo kakuweka kama bandibu flani, ambae hata jua lishuke, hutojishusha chini ng'ooo! Sasa kesha u tune moyo wake kukuignore u n ya cold heart!

What will work is play the FOOLS CARD! Jishushe, mlambe miguu, bw a nice mna! Chori chori chupke chipke! Send her flowers on tuesday without a reason, send her a gift on wednesday because its wednesday, mpikie, be romantic! This will throw her off balance!

GOOD LUCK,!
 
Hapo sasa ndo inanibidi kutumia ung'eng'e wa Madam Sepetu wa Sepetunga! DO THE UNEXPECTED,! Girls love the unexpected all the time! Well i do all yhe time!

Yeye hapo kakuweka kama bandibu flani, ambae hata jua lishuke, hutojishusha chini ng'ooo! Sasa kesha u tune moyo wake kukuignore u n ya cold heart!

What will work is play the FOOLS CARD! Jishushe, mlambe miguu, bw a nice mna! Chori chori chupke chipke! Send her flowers on tuesday without a reason, send her a gift on wednesday because its wednesday, mpikie, be romantic! This will throw her off balance!

GOOD LUCK,!

Nitajaribu aisee...tatzo nahisi atavimba bichwa !!! Dah..
 
mwee nilipendaga ikala kwangu nikajifunza wanawaje wee gegeda tuu...inaweza kula kwako any tym.

Hilo nalitambua siku nyingi. Tatizo siku ya kufa nyani miti yote huteleza !! Unaweza jifanya mjuaji ila siku ukionja tu unasahau na njia ya kurudi nyumbani (kwenu). Acha kabisa hawa viumbe sio kabisa.
 
Aise..ila nakusoma sana.. Hata mm naogopaga kweli kukamatwa kwenye situation kama hiyo..na ikizingatia sisi tunahudumia kabisa ada, hela ya kula nk dah noma..yaani uzi kama umetutungia wengine..
 
Ndivyo ilivyo kwake yeye umeshachuja kiufupi na hakuhitaji tena kwa muda huu unachotakiwa kufanya move on with yo life then bila kutegemea ukiwa busy na maisha anaweza kuja tena ktk maisha yako au hasije hapo sasa itakua kazi kwako kuamua ila kwasasa kubali hali halisi ukiendelea na hisia zako hizo utaburuzwa tena na tena

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
duuuh huu uzi kama umenitungia mie vile hii situation nishaipitia mzee,nilichojifunza usipende kabidhi moyo wako wote kwa mtu mwingine coz mda wowote atakusaliti.jipende mwenyewe mkuu akili kumkichwa
 
sijawahi kuburuzwa na mwanamke kiasi hichi.

Ndio ushaburuzwa mkuu.
Ushauri wangu,usitake kumrudia,atakuumiza zaidi. We endelea mbele na uamuzi wako wa awali. Kua mwanaume mkuu. Huyo binti kashagundua 'a bug' moyoni mwako, ataiexploit hadi unakuja kushtuka kuifix utakua umeumia sana. Usituulize ni jinsi gani ya kutokua mwanaume,kua mwanaume.
 
Hapo sasa ndo inanibidi kutumia ung'eng'e wa Madam Sepetu wa Sepetunga! DO THE UNEXPECTED,! Girls love the unexpected all the time! Well i do all yhe time!

Yeye hapo kakuweka kama bandibu flani, ambae hata jua lishuke, hutojishusha chini ng'ooo! Sasa kesha u tune moyo wake kukuignore u n ya cold heart!

What will work is play the FOOLS CARD! Jishushe, mlambe miguu, bw a nice mna! Chori chori chupke chipke! Send her flowers on tuesday without a reason, send her a gift on wednesday because its wednesday, mpikie, be romantic! This will throw her off balance!

GOOD LUCK,!

Really?

Ngoja nimwitie kaka yake The Boss aipitie hii rasimu ya katiba ya Kubwa la Maadui.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom