Amesema ana mtu wake ila ananiomba hela

Amesema ana mtu wake ila ananiomba hela

Hujajielewa huyo demu hajakupenda ila ameamua kukupa with merit ,apo unatakiwa uwe mjanja kama nyoka na mpole kama hua
 
Ndio ujasiriamali wake huo alio uchagua,akiwa na watu 10 wanaomuwezesha,lazima asimamishe mjengo mjini.
 
Ndo walivyo siku hizi.Ukijilegeza anakugeuza ATM alafu akifika kwa marafiki zake anawaadisia anavyokuchuna bure.pamoja na kwamba ni haki yetu kuwahudumia ila hizi sanifu za siku hizi zimezidi aise.Wanapenda kupokea kuliko kutoa sasa ayo mambo sio dunia ya sasa.Nipe nikupe ndo mpango mzima.
 
Uliona wapi mfanyakazi wa Voda analipwa mshahara na Tigo
 
Back
Top Bottom