Amesema ana mtu wake ila ananiomba hela

Sio hivyo. Walitongozana wakakubaliana ila dada Ana bwana wake wawe wanaibia. Dada siku kaomba hela ndio jamaa akamwambia aifuate lodge Ili akamgegede ampe hiyo hela aloomba
sijui labda nimeelewa story vby, nimeona kama vile jamaa ameombwa 50k (yaan ametajiwa na kiasi kabisa) baada ya yeye kumtaka huyo bidada.

what does that imply?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo hakufai Kiongozi.

Hivyo raha za Dunia wapewe wengine wewe uishie kupunwa mapene yako.

Hapana, kaa nae mbali.

Hiyo CHURA wala isikuchanganye
 
k
Kaka. Hiv una akili kweli ww?.
Hela ako unapeleka kwa mwanamke kama huyo..?
Eti spare tyre na ww unakubali.. shit
Mbona unajishusha dhaman man.

Embu tafuta mwanamke anaejielewa. Mcha Mungu..
Beutiful black lady. Ujenge nae maisha. Acha kukimbizana na vitoto vya chuo man

Sent using Jamii Forums mobile app
kwamba hasitafute white beautyful lady :D:D
 
Back
Top Bottom