elishaezekiel
JF-Expert Member
- Oct 16, 2016
- 563
- 1,461
Mwanamke Siyo Mtu wa kuhurumia hata kidogo. Huruma yetu wanaume inatuponza sana. Usiwe na huruma kwa Mwanamke
Acha ubahili toa hela wewe zuzuKuna bidada yupo chuo mwaka wa mwisho hapa kitaani.
Binti ana sura ya kawaida tu kama lastborn wa Babangida, Ila kajaaliwa Nundu hiyo chini ya mgongo hatari.
Huku na huku nikasakanya namba tuyajenge akanambia ana mtu wake hivyo haiwezekani.
Nikamwambia niwe tyre spare akasema poa ila niwe namuhudumia, nikamwambia nikuhudumie au tuhudumiane?
Akapiga kimya Jana kanitext anaomba 50,000 nikamwambia niko room namba 09 Guesthouse aje achukue ananiambia kama ndo mambo hayo basi hataki.
Hivi akina dada huwa mnataka iweje? Au kuna mahala nakwama wanazengo? Yaani mi niwe nakuoa hrla harafu anagegeda mwenzangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Simaanishi achague rangi. Lakin atafute anae jielewa. Mbona wapo wengik
kwamba hasitafute white beautyful lady
Achana nae huyo....njaa ikibana ataleta mwenyeweKuna bidada yupo chuo mwaka wa mwisho hapa kitaani.
Binti ana sura ya kawaida tu kama lastborn wa Babangida, Ila kajaaliwa Nundu hiyo chini ya mgongo hatari.
Huku na huku nikasakanya namba tuyajenge akanambia ana mtu wake hivyo haiwezekani.
Nikamwambia niwe tyre spare akasema poa ila niwe namuhudumia, nikamwambia nikuhudumie au tuhudumiane?
Akapiga kimya Jana kanitext anaomba 50,000 nikamwambia niko room namba 09 Guesthouse aje achukue ananiambia kama ndo mambo hayo basi hataki.
Hivi akina dada huwa mnataka iweje? Au kuna mahala nakwama wanazengo? Yaani mi niwe nakuoa hrla harafu anagegeda mwenzangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea na makubaliano yenu tangia mwanzo, wao walikubaliana nipe nikupe.
Sio hivyo. Walitongozana wakakubaliana ila dada Ana bwana wake wawe wanaibia. Dada siku kaomba hela ndio jamaa akamwambia aifuate lodge Ili akamgegede ampe hiyo hela aloomba
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, asee
Nataka kujua Mkuu.Hahahaha, asee
MTC | 101|
Huwezi jua mdau alikuwa ana nia njema kabisa ya kumuonyesha anapoishi, si unajua kuna kiasilimia cha idadi ya watanzania wanaishi guest house?