Amenitenda ila bado ananing'ang'ania!

Amenitenda ila bado ananing'ang'ania!

nyota njema huonekana asubuhi
Kuna binti (mwanachuo) ambaye tulikubaliana kuwa baada ya miaka kadhaa tutaunda kafamilia ketu, Baada ya miaka miwili ya mahusiano yetu (march 2013) nilipata tatizo la kusimamishiwa mshahara na ndani ya kipindi hicho huyo mrembo(aliyekuwa mchumba wangu) aliniambia kuwa anashida ya pesa, Nami kwa kusema ukweli sikuwa na kitu na ningefanyaje hali ya kuwa nishazoea kukinga kwenye ATM mashine tu! Nikampa ukweli kuwa nimevamba kwasababu sina mshahara ila hakuniamini, Akaanza kuniropokea maneno mi nikamwambia "usinisumbue kwani we si una wazazi na wanajua uko chuo? Waambie wakutatulie tatizo lako kama kweli ni la msingi."
Na ukweli wazazi wake hawana njaa sana. Ila baada ya hapo mawasiliano hayakuwa mazuri nami sikumfatilia kwasababu nilimuona sio muungwana, Yeye alikuwa ananipigia mara chache lakini maongezi yalikosa utamu ule uliozoeleka. Mwezi wa nane nilihudhuria mafunzo fulani yaliyonilazimu ninunue modem ya Airtel hivyo nikapata namba mpya ya simu na kwakuwa nilijiunga na vifurushi ktk laini hiyo mpya nilikuwa na muda na sms za kutosha. Jion moja nikamtext "Niambie mke wangu?" Akanijibu kwa ukali lkn nikamzingua had akawa mlain japo hakunijua mimi nani. Tukaendelea kuchat had ukafika muda nikamlazimisha aniambie mimi ni nani maana alishaniambia yeye ana mume mmoja ila alipotaja jina nusura chozi linitoke kwani alinitajia jina tofauti na langu. Nikakaa kidogo nikampigia aliposikia sauti yangu akapatwa na bumbuwazi akakata simu, nikampigia tena akapokea lakini hakuweza kuongea la maana alianza kulia huku akiniambia huyo aliyenitajia ni jamaa mmoja wa first year(ye ni 2nd yr). Alimtongoza tu walikuwa wanawasiliana na anamuita mumewe,baby ili tu amnyenge pesa zake ila hajasex nae hivyo nisiamue lolote. Niliamua kumpuuzia toka siku hiyo ila bado ananisumbua anaomba nimsamehe ili tutimize lengo letu. Kinachonisumbua zaidi sikubahatika kufanya maamuzi ya wazi nimekaa kimya tu nausikilizia upepo japo maisha bila mpenzi nimeyaona ya amani ila hayana furaha.

SASA WAUNGWANA NIPENI MAWAZO YENU:
 
Kuna binti (mwanachuo) ambaye tulikubaliana kuwa baada ya miaka kadhaa tutaunda kafamilia ketu, Baada ya miaka miwili ya mahusiano yetu (march 2013) nilipata tatizo la kusimamishiwa mshahara na ndani ya kipindi hicho huyo mrembo(aliyekuwa mchumba wangu) aliniambia kuwa anashida ya pesa, Nami kwa kusema ukweli sikuwa na kitu na ningefanyaje hali ya kuwa nishazoea kukinga kwenye ATM mashine tu! Nikampa ukweli kuwa nimevamba kwasababu sina mshahara ila hakuniamini, Akaanza kuniropokea maneno mi nikamwambia "usinisumbue kwani we si una wazazi na wanajua uko chuo? Waambie wakutatulie tatizo lako kama kweli ni la msingi."
Na ukweli wazazi wake hawana njaa sana. Ila baada ya hapo mawasiliano hayakuwa mazuri nami sikumfatilia kwasababu nilimuona sio muungwana, Yeye alikuwa ananipigia mara chache lakini maongezi yalikosa utamu ule uliozoeleka. Mwezi wa nane nilihudhuria mafunzo fulani yaliyonilazimu ninunue modem ya Airtel hivyo nikapata namba mpya ya simu na kwakuwa nilijiunga na vifurushi ktk laini hiyo mpya nilikuwa na muda na sms za kutosha. Jion moja nikamtext "Niambie mke wangu?" Akanijibu kwa ukali lkn nikamzingua had akawa mlain japo hakunijua mimi nani. Tukaendelea kuchat had ukafika muda nikamlazimisha aniambie mimi ni nani maana alishaniambia yeye ana mume mmoja ila alipotaja jina nusura chozi linitoke kwani alinitajia jina tofauti na langu. Nikakaa kidogo nikampigia aliposikia sauti yangu akapatwa na bumbuwazi akakata simu, nikampigia tena akapokea lakini hakuweza kuongea la maana alianza kulia huku akiniambia huyo aliyenitajia ni jamaa mmoja wa first year(ye ni 2nd yr). Alimtongoza tu walikuwa wanawasiliana na anamuita mumewe,baby ili tu amnyenge pesa zake ila hajasex nae hivyo nisiamue lolote. Niliamua kumpuuzia toka siku hiyo ila bado ananisumbua anaomba nimsamehe ili tutimize lengo letu. Kinachonisumbua zaidi sikubahatika kufanya maamuzi ya wazi nimekaa kimya tu nausikilizia upepo japo maisha bila mpenzi nimeyaona ya amani ila hayana furaha.

SASA WAUNGWANA NIPENI MAWAZO YENU:

mkuu waungwana wanasema ''sometimes SILENCE is the best answer"" we piga kimya tu acha ajifarague weee wala ustake kuulizia
 
Kuna binti (mwanachuo) ambaye tulikubaliana kuwa baada ya miaka kadhaa tutaunda kafamilia ketu, Baada ya miaka miwili ya mahusiano yetu (march 2013) nilipata tatizo la kusimamishiwa mshahara na ndani ya kipindi hicho huyo mrembo(aliyekuwa mchumba wangu) aliniambia kuwa anashida ya pesa, Nami kwa kusema ukweli sikuwa na kitu na ningefanyaje hali ya kuwa nishazoea kukinga kwenye ATM mashine tu! Nikampa ukweli kuwa nimevamba kwasababu sina mshahara ila hakuniamini, Akaanza kuniropokea maneno mi nikamwambia "usinisumbue kwani we si una wazazi na wanajua uko chuo? Waambie wakutatulie tatizo lako kama kweli ni la msingi."
Na ukweli wazazi wake hawana njaa sana. Ila baada ya hapo mawasiliano hayakuwa mazuri nami sikumfatilia kwasababu nilimuona sio muungwana, Yeye alikuwa ananipigia mara chache lakini maongezi yalikosa utamu ule uliozoeleka. Mwezi wa nane nilihudhuria mafunzo fulani yaliyonilazimu ninunue modem ya Airtel hivyo nikapata namba mpya ya simu na kwakuwa nilijiunga na vifurushi ktk laini hiyo mpya nilikuwa na muda na sms za kutosha. Jion moja nikamtext "Niambie mke wangu?" Akanijibu kwa ukali lkn nikamzingua had akawa mlain japo hakunijua mimi nani. Tukaendelea kuchat had ukafika muda nikamlazimisha aniambie mimi ni nani maana alishaniambia yeye ana mume mmoja ila alipotaja jina nusura chozi linitoke kwani alinitajia jina tofauti na langu. Nikakaa kidogo nikampigia aliposikia sauti yangu akapatwa na bumbuwazi akakata simu, nikampigia tena akapokea lakini hakuweza kuongea la maana alianza kulia huku akiniambia huyo aliyenitajia ni jamaa mmoja wa first year(ye ni 2nd yr). Alimtongoza tu walikuwa wanawasiliana na anamuita mumewe,baby ili tu amnyenge pesa zake ila hajasex nae hivyo nisiamue lolote. Niliamua kumpuuzia toka siku hiyo ila bado ananisumbua anaomba nimsamehe ili tutimize lengo letu. Kinachonisumbua zaidi sikubahatika kufanya maamuzi ya wazi nimekaa kimya tu nausikilizia upepo japo maisha bila mpenzi nimeyaona ya amani ila hayana furaha.

SASA WAUNGWANA NIPENI MAWAZO YENU:
huyo hafai kwa future kama vip timua tu au kama kuna vitu umebakiza malizia malizia uondoke!
 
hawa wanachuo jama

mihemuko tu wakimaliza baas watanyooka

bybthe way "mwalimu kijana" hapo huna mke/mchumba yupo kimaslahi zaidi. Unaona raha huyo mume mwenzio wa first year kuchunwa? unahakikishaje kuwa hawajasex? yaani amhonge tu bhaaaas? Umeshamgegeda au bado?
 
Kuna binti (mwanachuo) ambaye tulikubaliana kuwa baada ya miaka kadhaa tutaunda kafamilia ketu, Baada ya miaka miwili ya mahusiano yetu (march 2013) nilipata tatizo la kusimamishiwa mshahara na ndani ya kipindi hicho huyo mrembo(aliyekuwa mchumba wangu) aliniambia kuwa anashida ya pesa, Nami kwa kusema ukweli sikuwa na kitu na ningefanyaje hali ya kuwa nishazoea kukinga kwenye ATM mashine tu! Nikampa ukweli kuwa nimevamba kwasababu sina mshahara ila hakuniamini, Akaanza kuniropokea maneno mi nikamwambia "usinisumbue kwani we si una wazazi na wanajua uko chuo? Waambie wakutatulie tatizo lako kama kweli ni la msingi."
Na ukweli wazazi wake hawana njaa sana. Ila baada ya hapo mawasiliano hayakuwa mazuri nami sikumfatilia kwasababu nilimuona sio muungwana, Yeye alikuwa ananipigia mara chache lakini maongezi yalikosa utamu ule uliozoeleka. Mwezi wa nane nilihudhuria mafunzo fulani yaliyonilazimu ninunue modem ya Airtel hivyo nikapata namba mpya ya simu na kwakuwa nilijiunga na vifurushi ktk laini hiyo mpya nilikuwa na muda na sms za kutosha. Jion moja nikamtext "Niambie mke wangu?" Akanijibu kwa ukali lkn nikamzingua had akawa mlain japo hakunijua mimi nani. Tukaendelea kuchat had ukafika muda nikamlazimisha aniambie mimi ni nani maana alishaniambia yeye ana mume mmoja ila alipotaja jina nusura chozi linitoke kwani alinitajia jina tofauti na langu. Nikakaa kidogo nikampigia aliposikia sauti yangu akapatwa na bumbuwazi akakata simu, nikampigia tena akapokea lakini hakuweza kuongea la maana alianza kulia huku akiniambia huyo aliyenitajia ni jamaa mmoja wa first year(ye ni 2nd yr). Alimtongoza tu walikuwa wanawasiliana na anamuita mumewe,baby ili tu amnyenge pesa zake ila hajasex nae hivyo nisiamue lolote. Niliamua kumpuuzia toka siku hiyo ila bado ananisumbua anaomba nimsamehe ili tutimize lengo letu. Kinachonisumbua zaidi sikubahatika kufanya maamuzi ya wazi nimekaa kimya tu nausikilizia upepo japo maisha bila mpenzi nimeyaona ya amani ila hayana furaha.

SASA WAUNGWANA NIPENI MAWAZO YENU:

Mwenzako yupo kichapaa zaidi. Hapo anakuzuga 2 eti huyo jamaa ni rafiki 2, ohoo.. sijasex nae... hayo yote hayana tija na kama una akili timamu hauhitaji king'amuzi cha aina yoyote kung'amua hili suala. Tulizana na umwombe mungu akupe ambaye mnaendana. Kama angekuwa mvumilivu angekuwa anakufariji na kuangalia namna ambayo mngweza kutatua shida mbalimbali zilizokuwa zinawakabili. KUWA NA MSIMAMO. EPUKA KUYUMBA. BE A REAL MAN.
 
kumbuka hata wewe alikuwa anakita Mume/beby ili umpe hela na kumtatulia shida zake!! ndo maana ulipokosa hela mapenz yakapungua na kuaanza kujibebisha kwa mwingine:

Ushauri wangu me naona mpotezee coz hala love ya kweli na atakuja kukuumiza zaid huko mbele. Inshot yupo kimasilai zaid!!
 
We mwalimu!tafuta mtu wa level yako,huyo binti humuwezi,we huna hela..kaa mbali nae kabisa.
 
mihemuko tu wakimaliza baas watanyooka

bybthe way "mwalimu kijana" hapo huna mke/mchumba yupo kimaslahi zaidi. Unaona raha huyo mume mwenzio wa first year kuchunwa? unahakikishaje kuwa hawajasex? yaani amhonge tu bhaaaas? Umeshamgegeda au bado?


Inawezekana mbona
Unakula bola kuliwa akili yako tu
 
Unajua kama mwanaume umapaswa kumjua mweza wako!!
CONS»Kila mwanamke anagongeka kwanza jua ilo!! Weakness ake ndo wew unapoikazia apo apo..
PROS»mwanamke anauwezo wakugongea na mwanaume mmoja kama kweli anampenda na kumwamini ata kama weakness ake inafahamika na mjemba ata mia
SaSa kwa situation ako mkuu!!...dah weakness ake uyo ni PEsA nzuri yakumu handle lifestyle yakE!!..apO cjui kama theory angu itakua ceteri paribus au ,
 
Back
Top Bottom