Dadii
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 749
- 1,177
Mmekutana wote wasanihi. Kaeni chini myamalize. Unavyoendelea kukaa kimya na yeye anapoteza muelekeo. Fanya maamuzi. Halafu sijui kwa nini wanaume wa siku hizi hamna maamuzi wenyewe kukaa kimya au kukata mawasilino ndio solution.
Kama uliweza mwanzoni kumfuata na kumtongoza, linapotokea tatizo ugumu unakuwa wapi kumfuata tena na kuongelea mustakabali wenu!
Vidume mmekuwa makoko now days! hamjui muamue nini ktk mahusiano yenu,,,ukiona halipi tupa kule,,,, ila ukiona kuna fyucha mwambie nimekusamehe ila ukirudia tena nakukata masikio. kwani we ndo ulimtoa bikira... si kuna mtu alikuwa anamramba... acha ufala toa maamuzi,,, mbona wkt wa kumpenda hukuleta hoja hapa... alafu ikishamuoa tu migogoro ya ndania ya nyumba ndio nyie mnapeleka kwa washkaji si mshazoea jf ndo suluhisho... jifunze kutumia kichwa yako ktk matatizo yako binafsi. malalamiko tu hata kwenye pooor solution aghaaaaaaaaaaaa.