AMENITAMKIA KUWA ANANIPENDA

AMENITAMKIA KUWA ANANIPENDA

SuperHb

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2016
Posts
1,007
Reaction score
997
habari in short...
kuna binti nilimuona siku fulani nilipokuwa nimeenda kusali....basi kabla kuingia kweny ibada tulibadilishana Namba kwa ajili ya kuwasiliana... basi siku moja nimempigia simu...ile mwishoni naaganaa nae kwenye simu AKANAMBIA ...nikwambie kitu....,,,, hapo kidogo nilisita kumuitikia nilifikiri ni mzinga anatka kuniripua...basi nikamwambia Nambie tu....BASI MIMI MWENZIO NAKUPENDA....kiukweli sikuamini nilihisi ni utani si unajua tena Mwanamke kumtamkia Mwanaume kidogo haijazoeleka kidesturi...basi nikamwambia nitaprove siku nikikuona....
SASA NDUGU ZANGU....MNANISHAURI VIPI NIENDELEE NAE....KWASABABU AMENITAMKIA MWENYEWE AU...ITAKUWA NI MBINU TU ANA LENGO LAKE....????
...
 
Kamsee kwa wazee wa kanisa kuwa ana matumizi mabaya ya simu.

Sent using my Nokia Torch
 
Piga chini huyo haraka sana, atakwambiaje mtoto wa kiume maneno ya kifedhuli kiasi hicho? Hayo maneno hua wanaambiwa kina Ray bayb sio mtu kama wewe.

Maendeleo hayana chama
 
Back
Top Bottom