SuperHb
JF-Expert Member
- Mar 21, 2016
- 1,007
- 997
habari in short...
kuna binti nilimuona siku fulani nilipokuwa nimeenda kusali....basi kabla kuingia kweny ibada tulibadilishana Namba kwa ajili ya kuwasiliana... basi siku moja nimempigia simu...ile mwishoni naaganaa nae kwenye simu AKANAMBIA ...nikwambie kitu....,,,, hapo kidogo nilisita kumuitikia nilifikiri ni mzinga anatka kuniripua...basi nikamwambia Nambie tu....BASI MIMI MWENZIO NAKUPENDA....kiukweli sikuamini nilihisi ni utani si unajua tena Mwanamke kumtamkia Mwanaume kidogo haijazoeleka kidesturi...basi nikamwambia nitaprove siku nikikuona....
SASA NDUGU ZANGU....MNANISHAURI VIPI NIENDELEE NAE....KWASABABU AMENITAMKIA MWENYEWE AU...ITAKUWA NI MBINU TU ANA LENGO LAKE....????
...
kuna binti nilimuona siku fulani nilipokuwa nimeenda kusali....basi kabla kuingia kweny ibada tulibadilishana Namba kwa ajili ya kuwasiliana... basi siku moja nimempigia simu...ile mwishoni naaganaa nae kwenye simu AKANAMBIA ...nikwambie kitu....,,,, hapo kidogo nilisita kumuitikia nilifikiri ni mzinga anatka kuniripua...basi nikamwambia Nambie tu....BASI MIMI MWENZIO NAKUPENDA....kiukweli sikuamini nilihisi ni utani si unajua tena Mwanamke kumtamkia Mwanaume kidogo haijazoeleka kidesturi...basi nikamwambia nitaprove siku nikikuona....
SASA NDUGU ZANGU....MNANISHAURI VIPI NIENDELEE NAE....KWASABABU AMENITAMKIA MWENYEWE AU...ITAKUWA NI MBINU TU ANA LENGO LAKE....????
...
