Mwenzangu kaninunia kia nimecheza chini ya kiwango. Nimebakiwa na viulizo kibao bila majibu kucheza gemu chini ya kiwango ndo anaweza awe na gubu hivi?
nakupa ukweli kabisa TIQO kwamba amenuna kwakua analinganisha na kidumu chake ambacho kinamchezea juu ya kiwango halafu anakufananisha anapata hasira. kwani kule hana uhuru napo kiivyo na hapo kwako anapotegemea ni dorooooooo!
Fanya uchunguzi wa kutosha kujirizisha kama kununa kwake sababu ni hiyo tu.
Mara ngapi umeshacheza chini ya kiwango
Mnuno umeanza baada ya mchezo huu au hata kabla
Mlishawahi kugombana kwa kukutuhumu una kidumu.
Unahisi ana kidumu?
fikiri sana TIQO kidudumtu anaweza kuwa tayari kaingia kwa mkeo. Wajanja wameshampiga pipe ya kufa mtu. Shaur yako, rudi tuition ya kungonoka uokoe ndoa kama unaipenda.
Sio mngoma huyo mshauku tuu.kwani anadhani kila mara mtu unakua na speed kama yamwanzo? ndio mana watu kama hao wanaibiwa kwa mlio tuu....kuna wakati mwengine huo mchezo wala huutaki ilobaki basi tuu..
KAWAIDA...huna haja ya kuripiza kisasi kwa kumnunia... wanaume huwa hatununi, tatua tatizo na tambua mwanamke uliyenaye ni wa aina gani..practice make perfect. Mwanamke kama huyo ukiweza kumpa anachotaka mahala na wakati anaotaka, hawezi kuwa na kidumu na hatokuacha wala kukununia tena. Mwisho shukuru Mungu kwa kukuonesha ishara kuwa hapendezwi na baadhi unayofanya, kuliko ungempata 'pretender'.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.