Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 42,471
- 105,023
Happy New Year sweet heart...😍😘Inabidi kuwazowea tu Baba Mchungaji.
Happy New Year sweet heart...😍😘Inabidi kuwazowea tu Baba Mchungaji.
Daah!! February eti hii atii. 😂😂Happy New Year sweet heart...😍😘
Kilichobaki hapo avae toy Akupelekee mottoWanajamiiforum mwanamke akikulamba vibao (kukulapua Makofi mwanaume) ufanyejee?
Shoga hiloMkuu unaradiate feminine energy. Yaani mwanamke mpaka akupige mwanaume maana yake amekuona mpo sawa na anakumudu. Kiufupi yaani anakuona kama mwanamke mwenzake. Anza kueradiate masculine energy ili heshima iwepo.
Mimi naona maajabu kuona mwanaume mwenzangu anapigwa na mtoto wa kike.




Safari nyingine akikupiga kofi anguka chini na kuzimia kama Haji Manara.Asipokunyanyua muache mchumbie rafiki yake.Tahadhari usimpeleke Dubai.



Si atamuua 😀😀😀
KweliSi atamuua![]()