Ameniboaa! Marafiki wa social network


Lakini hayo yalikuwa yenu wawili. Nahisi kuwa humtendei haki huyo jamaa kwa kuweka wazi mambo mliyokubaliana wawili mkapeana na contact zenu na sijui mlichokubaliana hadi mkakubaliana kukutana. Au umeona haendani na hadhi yako.... Nakushauri unyamaze kama yalikukuta hayo unayoyasema basi si lazima utusimulie na sie ambao hatukuwepo katika makubaliano yenu ya urafiki na kuwa huo urafiki ungekuwa na mipaka gani.
 
Hivi nami nikianzisha uzi wa kumpondea jamaa humu, si nitawauza hata kama sijaonana na yoyote.
Kama vipi amtaje ndio tutaamini sio ya kutunga hii.
Asprin, walai nilifikiri ndio wewe uliyeerect L kumbe ni cacico kaikalia na mkafumaniwa na BADILI TABIA. Lol
 
Last edited by a moderator:
ahahaaa acha upambe bwana....majanga kwa kweli

Smile na sisi tupange kukutana aisee, ila ujue ndo ivo nitakuja nimeishaconclude kabisaaaa!!! so niambie muda na mahali teh teh
 
Wakat unaenda kukutana nae ulituambia?!!
We ya kwenu myamalize huko huko mlikoyaanzia!
 
Mimi kila nikivuta picha mbavu zinanivunjikaem just imagine,mchz kapaki mkoko nini anachonga ngenga kinouma kwenye cm huku anajikuna kichogo kisichowasha nn, pemben manz katulia nini anamsikilizia mnyamwezi amalize kuongea na samsung galaxy 4 mara kamaliza kuongea na 4n kidogo katoa mgadget huoooooo,anabrowse nini(nadhani alikuwa jf) huku mara jicho limedondokea kwene paja mara kwene titi ashhhhhhh, mara muda kidogo akimuangalia baby kwa jicho lililolegea ka kavuta cocktail ya heroine yenye tens mbili,twende zetu kwene opa.Demu huyooo kaongoza kwa mwendo wa twiga mchizi nyuma mimate inamtoka ka fisi kaona bonge la mzoga damn,kufika sasa kwenye gari hapo mimi napita sitaki ugomvi na muhusika.............................................
 

wanawake wa kileo kuimbisha ni kupoteza muda. Unakamata unamkatia kipande chake.
 

kakutana na masharobaro wa town,mbwembwe kibao.
 
wee huyo ndio kafanya kweli....wee urFiki na mwanaume bila kuombwa papucchi hamna. u luking for the impossible

kwa hiyo mkuu ulikuwa unataka tiffa agegedwe leo hii halafu mchizi aje na sredi humu madem wa jf maharaghe ya mbeya?sinakuuliza wewe mzabzab?
 
Last edited by a moderator:
Ukiona hivyo ujue hizo simu na msg zina umuhimu pia.
Kukutana na wewe hakufanyi maisha yasimame.

sio kwamba maisha yasimame, kuna ile ya kuwa bize na simu/ipad ya kupitiliza....
mtu anakusemesha maneno 50 wewe unajibu neno moja.....
 
Weka na aidii yake wazi kabisa humu...

kweli ati.... ili wadada wengine wamuepuke. Mimi tangu nilipoitwa Tapeli sina mzuka hata kidogo wa kujuana na mtu humu. Labda wale niliofahamiana nao uraiani then tukajuana id zetu.......
 
Ha ha ha ha ha ha da ngoja nicheke kwanza niendelee kugida kitu cha SBL nikimaliza ntakuja maana weekend bado
 

Social network ni muhimu sana,utakuja kugundua una function yako fulani au issue ambayo inahitaji watu wa ku support...
Humu kuna aina nyingi za fani za watu,though naambiwa wapo pia matapeli bt hii ni dunia si hata mashetani wapo duniani sembuse jf?
it depend on how you hold it....
kutana na watu,usiharakishe kufaidika nao....,itakusaidia kuwafahamu zaidi pia...
usiwe na haraka kwa kila ulifanyalo humu jf ukikutana nae poa,usiwaze tu oooh anataka papuchi tuuu,NO.
Jitahidi umjue wengine hawataki kujuana fine hiyo ndo miiko yao waliojiwekea fine....wakiishi tofauti na miiko yao wanakwazika,so ili wasikwazike inabidi wafuate miiko yao ya kuto meet friends in jf.
Hakikisha una kuwa na uhakika na maamuzi yako.
"Mtu mwenye busara hutilia shaka hata maamuzi yake mwenyewe"
 
Una haki ya kulalamika manake jamaa alichokukosea sio hata kukuita honey but hakukupa attention ambayo ulidhani unastahili na kwa kweli ulistahili attention ya kutosha ila jamaa kwa masimu na ipad hapo hakukutendea haki hope next time hatachemka hivyo, nawe songa mbele atatokea mwenye kukupa attention unayostahili!!!!!!!!!!!!!!!!
 

Sasa povu la nini si ndo kidigitali,

We ukiona mistari humu uanazani malijaaaali, wengine midomo zege!
Yeye anachojuwa ushakubali kifuatacho ITV ni dudu tu!
Na bahati yako ungekubali mgegedo angepizi yeye tu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…