Ameniacha baada ya kukuta kondom

Wee jamaa ni mzembe sana hata kusema kuna mwana aliazima Geto yeye ndo aliiachaa.. Mwanaume mzima ukakiri kuwa ulichepuka daah... watu zinakutwa mpaka chupi mamaee na mtu anapigwa mistari mpaka anaelewaaa..
 
Mengine yooote, nayaona kawaida na siyajadili.

Ila kubwa kuliko yote ni hili la condom hili!

Mchafukoge kiasi gani wewe, kuruhusu kuweka kiporo cha used'ndom,
Haufagii, haudeki?

Wawezahisi kakuacha kwa ajili ya wivu wa mapenzi, kumbe kakuacha kwa sababu ya uchafu wako! Yaani wewe ni mchafu wa asili, ambaye hauwezi kujirekebisha, kakupima siku nyingi kakuchoka.

Kama condom imetumika na haionekani ni uchafu, basi kuna takataka nyingi sana hatarishi kwa afya zipo chumbani humo!

Waweza kukuta makohozi, mate, vipisi vya sigara, soxy chafu kunuka zimo humohumo!
Isee! Wacha akuache akapumzike, hata hivyo kama ndivyo, mtoto wa watu kakuvumilia sana.
 
Habari za kazi wakuu,

kwanza napenda kutoa uzi huu nikiwa na majonzi makubwa kweli, kwani mahusiano yangu yamevunjika kizembe sana japo kuna wakati najipa moyo kuwa ni ujasiri... Mpenzi wangu aliaamua kuondoka kwao baada ya kukuta Kondomu iliyotumika chumbani kwangu. Huwa anasafiri mara kwa mara ndipo nipo shetani aliponivuta mkono nikaomba game kwa dada mmoja ambaye ni mpangaji mwenzetu na hii ndio chanzo baada ya kuisahau kuitupa, Lakini bado najiuliza kwanini asingenisamehe na kunipongeza kwamba nimetumia kinga? itakuwaje akipata mchepukaji ambae hatumii kinga?

Wito wangu ni kwamba bado nampenda na ndio maana nilikumbuka kinga hivyo kama ananisikia arudi nyumbani nipo tayari kuhama ile nyumba.
Hii ilishawahi kunikuta niliisovu hadi leo ukiniambia nirudie uongo niliotumia siwezi kuukopi. Hadi demu alinipa pole yeye
 
Habari za kazi wakuu,

kwanza napenda kutoa uzi huu nikiwa na majonzi makubwa kweli, kwani mahusiano yangu yamevunjika kizembe sana japo kuna wakati najipa moyo kuwa ni ujasiri... Mpenzi wangu aliaamua kuondoka kwao baada ya kukuta Kondomu iliyotumika chumbani kwangu. Huwa anasafiri mara kwa mara ndipo nipo shetani aliponivuta mkono nikaomba game kwa dada mmoja ambaye ni mpangaji mwenzetu na hii ndio chanzo baada ya kuisahau kuitupa, Lakini bado najiuliza kwanini asingenisamehe na kunipongeza kwamba nimetumia kinga? itakuwaje akipata mchepukaji ambae hatumii kinga?

Wito wangu ni kwamba bado nampenda na ndio maana nilikumbuka kinga hivyo kama ananisikia arudi nyumbani nipo tayari kuhama ile nyumba.
Kwa namna ingine uko vizuri. Kikubwa usiuze mechi. Kwani Kuna wengine ambao wanauza mechi lakini hajajulikana home, so relax akielewa sawa na asipoelewa sawa pia. Maisha yanaendelea.
 
Nampongeza kwa kuondoka. Amekuwa mkweli kwa nafsi yake na kwako.
Nawapenda wanawake wenye misimamo
 
Umemsaliti vibaya sana
1. Chumba cha jirani.
Amefikiria heshima yake, ameona haipo. Huyo jiran angemletea dharau

2. Umetumia kitandan chenu.
Ni kukosa adabu kiwngo cha PhD.

Kifupi umemdharau sana, hana sababu ya kubaki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom