Ameniacha baada ya kukuta kondom

Ameniacha baada ya kukuta kondom

Aisee, hapa hotelini kuna mdada kaacha sidiria chumbani kwangu ngoja nikaitupe.
Kweli kwenye miti hakunaga wajenzi kabisa.
Hiyo kitu inakazi yake maalum chief, yaani nisawa na kula ugali na picha ya samaki...teh
 
Dah...usijichanganye...Kuna kutia ...na kutiwa....ni makosa tofauti
Kumbe WANAUME bado tungalipo aisee nilidhani niko peke yangu...mana vichalii vya siku hizi comments zao tu huwa zinanipa mashaka

























Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Ibariki Chakwale
Mungu Ibariki Gairo
Mungu Ibariki Morogoro
 
Kama wako alikuvumilia haimaanishi kuwa kila mwanamke huvumilia furushi. Hivyo msimpotoshe mwenzenu.
Mkuu, huyo mpenzi wako hakuwa na upendo kwako tena. Yaani namaanisha alikuwa hakupendi tena, na kwa maelezo yako nalazimika kuamininkwamba alikuwa anakusuribia apate tu sababu ili akuache.
Kwasasa haupaswi kujuta kabisa kwasababu hili kosa ni dogo sana nikilinganisha na makosa ambayo nimewahi kuyafanya mimi.
Ebu usijilaumu wala kujutia, amini kwamba muda wa yeye kukuacha ulikuwa umefika na wala usijaribu kujutia kwamba umeachika kizembe.

Kwa leo naomba niishie hapa
 
ungemwambia hio condom ni zile second hand/za mtumba.
Au panya kaingia nayo.
 
Kama wako alikuvumilia haimaanishi kuwa kila mwanamke huvumilia furushi. Hivyo msimpotoshe mwenzenu.
Na pia uvumilivu wa kupita kiasi ni upumbavu, binafsi siwezi nikaishi na mwanamke mvumilivu zaidi, bali ninaamini katika upendo wa kweli.
Sijawahi kuvumiliwa asilani, naamini ninaishi kwenye upendo.
Na kama wewe unaona ninampotosha pia nisawa, lakini mtazamo wako hauwezi ukabadilisha kile nilicho kiandika ama kukiamini.
 
Habari za kazi wakuu,

kwanza napenda kutoa uzi huu nikiwa na majonzi makubwa kweli, kwani mahusiano yangu yamevunjika kizembe sana japo kuna wakati najipa moyo kuwa ni ujasiri... Mpenzi wangu aliaamua kuondoka kwao baada ya kukuta Kondomu iliyotumika chumbani kwangu. Huwa anasafiri mara kwa mara ndipo nipo shetani aliponivuta mkono nikaomba game kwa dada mmoja ambaye ni mpangaji mwenzetu na hii ndio chanzo baada ya kuisahau kuitupa, Lakini bado najiuliza kwanini asingenisamehe na kunipongeza kwamba nimetumia kinga? itakuwaje akipata mchepukaji ambae hatumii kinga?

Wito wangu ni kwamba bado nampenda na ndio maana nilikumbuka kinga hivyo kama ananisikia arudi nyumbani nipo tayari kuhama ile nyumba.
Ungejitetea kuwa mlimuazima mshkaji geto apigie demu wake sio aliyeiacha na unakomaa na msimamo wako then unamsuka msela kitaa unamuuzia msala
 
Hilo ni kosa kubwa sana kwanza uliwezaje kuingiza mwanamke mwengine kwenye nyumba unayoishi na Mke wako. Wewe unatudhalilisha sana wanamme hadi tunaonakana hatuna heshima katika ndoa zetu, kwa hivyo vitendo vyako vya Kijinga. Unazungumzia kutumia condom si ni kwa usalama wako binafsi. Wewe hata wanawake wanatakiwa kukuogipa kwa jinsi ulivyo unashindwa hata kujutia kosa kubwa kama hilo kweli unaona ni sawa tu.
 
Speaking of upendo, ungekuwa unampenda usingefanya hayo ulodai ulivumiliwa kwayo. Or ni one sided upendo?
Na pia uvumilivu wa kupita kiasi ni upumbavu, binafsi siwezi nikaishi na mwanamke mvumilivu zaidi, bali ninaamini katika upendo wa kweli.
Sijawahi kuvumiliwa asilani, naamini ninaishi kwenye upendo.
Na kama wewe unaona ninampotosha pia nisawa, lakini mtazamo wako hauwezi ukabadilisha kile nilicho kiandika ama kukiamini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom