Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,523
- 14,002
Simu amenunua kwa pesa yake mwache afanye atakavyo. Wewe endelea kupiga nyeto au tafuta wauza papuchi maisha yaendelee.😀😀😀
Yeye nimeshamzoesha utani, akinitania anachekelea mwenyewe nikikasirika, sasa raundi hii Nimempa kibano, najua hawezi kuniacha Ila Kwa kweli sikujua kama utani ule angenuna kiasi cha kunipa Block