world without end
Member
- Jul 17, 2016
- 57
- 47
huyo unayemtaja anatumiwa na shetani, ni kipaza sauti cha shetani bila hata yeye mwenyewe kujua. na ni watu walioshindwa ndoa sasa imebaki kupambana na mwanaume yeyote anayemtia machoni, na anasambaza sumu nyingi sana kwenye ndoa za watu yeye akifikiri anaponya maisha ya wanawake kumbe anasababisha magomvi na separation kwenye ndoa za watu hadi kusababisha wanawake wanaishi maisha magumu na watoto kutengwa na wazazi kwasababu ya kuwafundisha wanawake wenzie kiburi.Natamani aione huyu mmama anajiita Kiria.....!! Wa hivi wanapungua sana siku hizi!!!
Umeongea vyema sana mkuu!!!huyo unayemtaja anatumiwa na shetani, ni kipaza sauti cha shetani bila hata yeye mwenyewe kujua. na ni watu walioshindwa ndoa sasa imebaki kupambana na mwanaume yeyote anayemtia machoni, na anasambaza sumu nyingi sana kwenye ndoa za watu yeye akifikiri anaponya maisha ya wanawake kumbe anasababisha magomvi na separation kwenye ndoa za watu hadi kusababisha wanawake wanaishi maisha magumu na watoto kutengwa na wazazi kwasababu ya kuwafundisha wanawake wenzie kiburi.

Kama huyo shemeji ana mdogo wake wa kike naomba contact zake mkuu,maana wanawake wa dizaini hii wamebakia wachache sana.Huyo kwenye picha ni Shemeji yenu nimemwambia aandike hilo bango baada ya kumuona ana-like pages za Joyce Kiria.
Amen.![]()
![]()

huyo unayemtaja anatumiwa na shetani, ni kipaza sauti cha shetani bila hata yeye mwenyewe kujua. na ni watu walioshindwa ndoa sasa imebaki kupambana na mwanaume yeyote anayemtia machoni, na anasambaza sumu nyingi sana kwenye ndoa za watu yeye akifikiri anaponya maisha ya wanawake kumbe anasababisha magomvi na separation kwenye ndoa za watu hadi kusababisha wanawake wanaishi maisha magumu na watoto kutengwa na wazazi kwasababu ya kuwafundisha wanawake wenzie kiburi.
Nijifunze Ili mtupande vichwani?
Kwa hiyo kaliandika na kulishika hilo bango hapo akiwa kwenye shinikizo kubwa?Huyo kwenye picha ni Shemeji yenu nimemwambia aandike hilo bango baada ya kumuona ana-like pages za Joyce Kiria.
Amen.![]()
![]()
Wewe umelelewa wapi,kwenye vigodoro na vibeseni?Nijifunze Ili mtupande vichwani?
Kalelewa misheni huyo
Cheza na akili yako....jibu utakaloona linakufaa lipigie mstari.Wewe umelelewa wapi,kwenye vigodoro na vibeseni?
Kwa comment yako ya pale juu jibu lishapatikana,ila nilikuwa natafuta uthibitisho tuu.Cheza na akili yako....jibu utakaloona linakufaa lipigie mstari.
Haya, kojoa ukalaleKwa comment yako ya pale juu jibu lishapatikana,ila nilikuwa natafuta uthibitisho tuu.