mwanamperuzi
Member
- Oct 31, 2016
- 65
- 18
Kaka kamwambia dada hawezi kumwoa kwa kuwa koo yao haichangamani na ya dada, sasa kaka anaendelea kumwita dada romantic names....how this comes?? Seriously!! Kaka ashamwambia dada sasa naona utafute tuu mtu ambaye atakuoa...mm hapana as family hai agree....and evry day he text her...calling her d, swty,,hny...daoe this sound!!!!

