Amemenyewa ila bado ana imani

Amemenyewa ila bado ana imani

Kuna makabila ya kuyaamini lakini sio mangosha, yaani amemenyewa tena kiustadi mkubwa, uno la kimama mchungaji kiasi kwamba mpaka mtumishi aliyekuwa akizagamuana naye ameshindwa kuendelea kuishi kama kipimo cha kwamba kile alichokuwa anapewa ni kitamu kuliko uhai.

Lakini bwana ndugu kaishia kukata rufaa na kuona bora liende tu. Ni upofu gani huu, na kwa pisi gani palee daaaaah?!

Cc Zero.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Masanja ni Mnyaki.
 
MAMA MCHUNGAJI NI MTAALAMU WA KUIFINYIA KWA NDANI KATIBU KAONA ANAKOSA UTAMU KAAMUA ATANGULIE AKATUANDALIE MAKAZI YA MILELE
 
Ni sawa ikipigwa maji inakuwa brand new,tatizo hata mkeo unakuta watu wanakula Ila inakuwa Siri,hata ukiachana naye utaoa wangapi na utaacha wangapi?
 
Back
Top Bottom