Amemenyewa ila bado ana imani

Amemenyewa ila bado ana imani

Kuna makabila ya kuyaamini lakini sio mangosha, yaani amemenyewa tena kiustadi mkubwa, uno la kimama mchungaji kiasi kwamba mpaka mtumishi aliyekuwa akizagamuana naye ameshindwa kuendelea kuishi kama kipimo cha kwamba kile alichokuwa anapewa ni kitamu kuliko uhai.

Lakini bwana ndugu kaishia kukata rufaa na kuona bora liende tu. Ni upofu gani huu, na kwa pisi gani palee daaaaah?!

Cc Zero.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Labda mama mchungaji anafuga nyuki kwenye pambaja zake .na asali aitoayo ni zaidi ya hii ya kawaida
 
Back
Top Bottom