Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,023
- 13,370
Ni huko Tarime kwa Wakurya.
Marehemu alikua ana miaka 13 tu.
Amekutwa amebakwa,amevunjwa paja na shingo na amefariki dunia.
Jamaa aliyeonekana mala ya mwisho na Marehemu Amekimbia na anatafutwa.
Polisi wanamsaka mtuhumiwa.
chanzo:RFA_Matukio.
Marehemu alikua ana miaka 13 tu.
Amekutwa amebakwa,amevunjwa paja na shingo na amefariki dunia.
Jamaa aliyeonekana mala ya mwisho na Marehemu Amekimbia na anatafutwa.
Polisi wanamsaka mtuhumiwa.
chanzo:RFA_Matukio.