Amelipa mahari milioni 4!

Amelipa mahari milioni 4!

prenge

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2015
Posts
218
Reaction score
277
Niko maeneo kumpa kampani rafiki wa karibu Erick anafunga ndoa mwezi 5 mwishoni. Sasa nimepata na mshangao tulivyoingia ndani kaambiwa mil5 baada ya kulialia katoa milioni 4 cash katika 5 milioni.

Wajomba wamekomaa hawakupunguza.. Jamani mimi naoa wiki ijayo nimelipa 70,000/= tu.

NB: Wajomba muwe na huruma.... Maisha magumu sana..

Pole ndugu yangu najua unanisoma hapa.
 
Niko maeneo @ kumpa kampani rafiki wa karibu Eric anafunga ndoa mwezi 5 mwishoni,,,,sasa nimepata na mshangao tulivyoingia ndani kaambiwa mil5 baada ya kulialia katoa mil4 cash katika5mil.
Wajomba wamekomaa hawakupunguza ....jamani Mimi naoa wiki ijayo nimelipa 70000 tu .
NB:wajomba muwe na huruma....maisha magumu sana..
Pole ndugu yangu najua unanisoma hapa.
Kuoa kwa sasa nako ni ujasiriamali
 
Teh teh teeeeh!! Toeni bwana acheni kulia lia.
 
Niko maeneo @ kumpa kampani rafiki wa karibu Eric anafunga ndoa mwezi 5 mwishoni,,,,sasa nimepata na mshangao tulivyoingia ndani kaambiwa mil5 baada ya kulialia katoa mil4 cash katika5mil.
Wajomba wamekomaa hawakupunguza ....jamani Mimi naoa wiki ijayo nimelipa 70000 tu .
NB:wajomba muwe na huruma....maisha magumu sana..
Pole ndugu yangu najua unanisoma hapa.
Unalipia "mahali" yote hiyo halafu machine yenyewe labda ni "USED".
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom