Amejichora alama za X mapajani

Kifupi unahitaji maombi. Watoto wa hostel unatafuna,wake za watu unatafuna tu,na chips funga pia unakula. Hivi ni sifa?
 

Wewe ndio umelala nae,wewe ndio umeona hizo X sasa sisi tukujuze nini??!! Unajua nyinyi watu wengine mnapenda kutuvuruga weekend hizi!!!!! @#*&&!@#' wee!
 
Lazima ni lile lidada la pale Bright Guest house.........aisee.......
 
Kuna lidada hapo ukilala nalo hata ukitumia kinga lazima upate ngoma...
 
Atakua alikua judge wa X factors huyo!
 

Mwabudu shetani huyo na hiyo ni mihuri ya shetani
 
Huko shuleni wakati ukisoma ulipokua ukiwekewa alama ya "X" ulikua unaelewa maana yake nyoko wewe?
 
Kuna lidada hapo ukilala nalo hata ukitumia kinga lazima upate ngoma...

Kama unalifahamu mkuu limejaaliwa kama jamaaa anavyosema.sema hizo X sjui kazichora lini.
 
Sasa unatuuliza sisi tutajuaje????

Anyway mpango wa hostel kukodisha madenti ukoje???
 
Zuma kisha sema if you can not read between the lines then you should be able to read between the thighs'
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…