dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 24,809
- 61,674
skiza Grande, ukiona sio mgongaji, jua ni shoga au senior member wa chaputa au hana dusheMsidhani huku mtaani sisi hatuishi na wanaume wenzenu na hatuwajui vizuri tunawajua sana na ni wanaume wengi tu marijali hapa duniani ila hawachepuki hivyo mnaochepuka mnajiendekeza kwa sababu hata msipochepuka hamuumwi wala hamfi ila basi tu umalaya unawasumbua
skiza Grande, ukiona sio mgongaji, jua ni shoga au senior member wa chaputa au hana dushe
huo ndio ukweli ,Sasa unanilazimisha niamini uongo wako au??
Ndivyo mnavyowadanganya baadhi ya wanawake ili wawaache mchepuke kwa amani eti nao wanaamini uongo wenu basi muwaoe hao hao wanaokubali kudanganyika ili hata wakiwafumania wao ndiyo waombe msamahahuo ndio ukweli ,
Yaani wewe mwanamke unajidai unawajua wanaume wote nje ndani.Sasa unanilazimisha niamini uongo wako au??
Yaani wewe mwanamke unajidai unawajua wanaume wote nje ndani.
Unajidanganya sana bibie, hasa linapokuja swala la feeling za kimapenzi.
Hizi feeling za kimapenzi ni ngumu kueleweka na mtu mwingine na inakuwa ngumu zaidi mtu wa jinsia fulani kuelewa za jinsia tofauti na yake. Ni kama vile mwanaume atake kujua mwanamke anavyoingiziwa dushe anajisikiaje zaidi atabaki kuhisi hisi labda inakuwa hivi lakini uhalisia halisi anaujua mwanamke tu.
Hata ukiwa na mabwana 7 uwezi uka conclude eti unawafahamu wanaume
Naona wanaume wengi mmekazania harufu utadhani ndiyo sababu!!labda ulikuwa na kaharufu kwenye pussy
Kama bado una hamu njoo nikukamue...
Naona wanaume wengi mmekazania harufu utadhani ndiyo sababu!!
Wewe unahisi sababu ni ipi utusaidie kuliweka sawaa?
Mimi ni binti nina miaka 24, nilikuwa na mahusiano ya kirafiki na kaka mmoja ambaye ni mfanyakazi wa benki moja hivi, baadaye tukawa wapenzi, akaniuliza kama nampenda kwa dhati au nina mtu mwingine, nilimjibu kuwa sina mtu mwingine zaidi yake.
Siku zikapita, kuna siku moja alinipigia simu majira ya saa moja usiku na kuomba nikaonane naye, sikuwa na wasiwasi nilifunga safari hadi nyumbani kwake.
Tuliendelea na mazungumzo ya kawaida ikafika sehemu akaniambia kuwa ana hamu ya kufanya mapenzi na mimi, kwa kuwa nilimpenda sikukataa, nikamkubalia tukaingia kwenye uwanja wa masumbwi.
Lakini tangu siku hiyo nilipompa penzi langu mara moja akawa haeleweki, kila nikimtafuta anasema yuko bize hata kama nikimwambia nina hamu ya kukutana naye faragha anasema kuwa nisubiri kwanza yeye yuko bize akipata nafasi atanitafuta.
Naombeni ushauri nifanyeje