Za kweli hizi, kijijini kwetu zipo na zinasaidia sana akiumwa mtu, mama wajazito wanapelekwa kujifungua pale zahanati ikiwa atashindwa kujifungua kwa mkunga wa jadi.
Za kweli hizi, kijijini kwetu zipo na zinasaidia sana akiumwa mtu, mama wajazito wanapelekwa kujifungua pale zahanati ikiwa atashindwa kujifungua kwa mkunga wa jadi.
Za kweli hizi, kijijini kwetu zipo na zinasaidia sana akiumwa mtu, mama wajazito wanapelekwa kujifungua pale zahanati ikiwa atashindwa kujifungua kwa mkunga wa jadi.
Kuna wakati Bunge lilipanga kununua tricycle kwa Health centres je jambo hilo mbona halijatendeka? Kweli serikali yetu kwa kudanganya wanainchi ni namba moja na sisi hakuna anayethubutu kumkumbushia mbunge wake kuhusu hii ahadi hewa au tunawasubiri kwenye uchaguzi?