Amboni Tanga: Askari Polisi, JWTZ wapambana na majambazi wenye silaha nzito za moto

Yaani askari wetu wamekosa wakushambulia au kupambana nao sasa ili kuonyesha kama wanaweza tumia silaha zao inabidi wapange kushambuliana wenyewe kwa wenyewe huku wakidanganya eti ni magaidi. Je, hao magaidi c watajambiana hawa. Bongo maigizo kila kukicha.
 
Sasa je wabongo kama ku.mael mm hapa nimesikia kamishina wamafunzo wa tz tanzania kasema majambaz na wamekimbia na hajafa mtu yyte taarifa na nana yangu ni muuguz hsp ya bombo tanga mjini hawa mbwaaaa.a wanasema eti magaid hiyo ni cccm inataka ukawa wasifanye mikutano ya kuelimisha jammmi

Yataibuka mengi na taarifa za jeshi LA polisi mara nyingi sio sahihi,mfano mzuri ni ule wa January 5 ktk maandamano ya amani Arusha kupinga utaratibu wa kumchagua Meya wa Arusha.Raia waliouwawa na police walikuwa ni wengi lakini polisi walitangaza waliuwawa watatu.

Asanteni manesi/madaktari kwa kutumegea ukweli unatusaidia kusonga mbele
 
Nimemsikia hapa ITV mtangazaji anasema police wamezuia waandishi wa habari kwenda kuona sehemu ya tukio na vile vile wamewazuia kwenda kuwaona hao askari waliolazwa katika hospital ya Bombo..!

Sterling mtoa habari hapa ni Chagonja.. Na sifa ya Chagonja ni uongo..
 
Nina wasi wasi na kampeni za katiba inayopendekezwa
kwa hali hii kuna uwezekano mkubwa wa kuzuia mikusanyiko ya kuelimisha
wananchi kwa sababu ya hali ya ugaidi nchini na hivyo
watu wataenda kupiga kura bila uelewa wa nini kinatakiwa kufanyika.
Nawashauri wenye uelewa wa katiba inayopendekezwa kujipanga
kutoa elimu kwa njia ya simu kupitia SMS na mitandao japo SMS
Ndo zitaweza kuwafikia wengi,ili kila mtu awe na elimu ya kutosha
Kabla ya kupiga kura kwa katiba inayopendekezwa.
Mungu ibariki Tanzania,yeyote mwenye nia ovu ya kuipoka haki ya watanzania ashindwe.
 
Duh! eti hamna mwandishi kupiga picha wala kufika hospital kupata habari za majeruhi na vifo!

Weitaa sitingishii.. ongeza nyingine nina hela!
 
Another tragedy of the common. Sasa hivi tunalazimishwa kuamini kitu. Kumbe ni wao wamekipanga. Hahaha....
 
Nimemsikia hapa ITV mtangazaji anasema police wamezuia waandishi wa habari kwenda kuona sehemu ya tukio na vile vile wamewazuia kwenda kuwaona hao askari waliolazwa katika hospital ya Bombo..!

Sterling mtoa habari hapa ni Chagonja.. Na sifa ya Chagonja ni uongo..

Toka jana wanashambuliana lakini hakuna adui hata mmoja amekamatwa aidha akiwa maiti au hai ina maana polisi wetu hawana shabaha kama hao majambazi ambao wamewapata.
 
Hamna jirani mchawi ..
Mchawi ni sie wenyewe ..
Mchawi ni wapumbavu fulani wa kitanzania ambao wanaona eti umasikini wao umesababishwa na chama kilicho madarakani hivyo wapumbavu hao wakaona njia pekee ya kujikwamua na umasikini huo ni kuua polisi wasio na hatia na kuiba silaha

Sasa wewe nadhani ndiyo unaelekea kutuletea shida na matatizo zaidi siyo tu katika kuwaza bali pia katika kunena na kutenda. Yaani matukio ya unyanga'nyi wa silaha umeanza kuyaelekeza kwenye vyama vya siasa! Sijui, hebu funguka zaidi.
 
Toka jana wanashambuliana!!! Hakuna adui hata mmoja aliyekamatwa hai au amekufa!!! Wampeleke yule wa Mwangosi labda kawazidi kwa shabaa!! Dah waneipeleka hii move kwa watu
wa kanga moko na kanga ndembendembe mbona watawakamata sana??? Hata ndani hawatatoka hao!!
 
Toka jana wanashambuliana lakini hakuna adui hata mmoja amekamatwa aidha akiwa maiti au hai ina maana polisi wetu hawana shabaha kama hao majambazi ambao wamewapata.

Yaan seriously kama wamekaa na kupanga hii dirty political scam kwa ajili ya kuleta hofu na shaka kwa wananchi na hivyo kupata sababu ya kuzuia mikusanyiko na maandamano basi Tanzania inakwenda shimoni..
 
Tatizo hili walilipandikiza polisi wenyewe kutumika na ccm kupandikiza ugaidi usiopo nchini, leo limetokea la kutokea mnamlaumu Yeriko? Ni hivi kama kweli tunachukia jeshi la polisi kutoa matamko ya uwongo tena dhidi ya upinzani ni wakata sasa kulitaka jeshi hilo lifanye kazi kwa weledi na sio kusikiliza na kutekeleza matakwa ya chama kimoja ili kibakie madarakani. Na jeshi la polisi lisipoangalia na kujitenga na ccm iko siku kutatokea tatizo na wananchi au wapinzani kwa kuona wananyanyaswa na polisi wakaamua kuwasaidia maadui toka nje. Ama hujawi kuona washabiki wa simba kuishangilia timu ya nje inapocheza na yanga na kinyume chake? Sasa ni wakati muafaka wa jeshi la polisi kukaa mbali na vyama vya siasa na kutekeleza wajibu wake bila upendeleo.


Au ndo Kambi aliyoisema Lema alipokuwa Bungeni imeanza kazi yake na kutetewa na Yericko ili isishughulikiwe?
 
Chagonja kawa mtamuu..Yeye ndiye kamanda mkuu wa the so called mapambano!! Sherehe za uhuru lazima alambe kamedali kake!
 
Another tragedy of the common. Sasa hivi tunalazimishwa kuamini kitu. Kumbe ni wao wamekipanga. Hahaha....


Kuamini na kujua ni vitu viwili tofauti,tunjua wanatudanganya kama wanataka tuamini kwa igizo lao hatutaamini kabisaa hasa tukilinganisha na yaliotokea hapo awali
 
Back
Top Bottom