Umekosa..!
Mshana Acha kubana, mimi nimepata
Unataka bakora sasa, kwanini unabishana na mwalimu? Mwalimu kasema umekosa wewe unakomaa umepata! Kwahiyo unamkosoa mwalimu? Kwihiyo wewe unajua zaidi ya mwalimu? Nimesema umekosa kafanye masahihisho haraka
Hahahahaaa kwaheri....! Ngoja mwalimu wako wa lugha aje mimi nilimshikia tu kipindi
Sio nyuni, ni ndege
Ngoja nijadiliane na kamati kama kapata