Ambaye Anapafahamua Mbeya City

Ambaye Anapafahamua Mbeya City

Mhe. LY

Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
29
Reaction score
12
wadau nimepangiwa wilaya ya chunya mkoa wa mbeya kwa wanaopahamu mazingira yakoje jamani........
 
Mazingira ya kule mazuri pia watu wake wakarimu sana
 
Karibu chunya wilaya yenye watu wakarimu, kilimo kizuri ,maji safi, madin mengi ,utaifurahia. Vp unatoka mkoa gan?
 
Kwa wilaya ya chunya sehemu nzuri kuishi ni Chunya wilayani, Makongorosi na Mkwajuni. Sijui umepangiwa wapi mwalimu. Ila ukipata moja ya sehemu hizi ni pouwa sana. Mimi ni mwenyeji wa hiyo wilaya mkuu. Uliza lolote uambiwe.
wadau nimepangiwa wilaya ya chunya mkoa wa mbeya kwa wanaopahamu mazingira yakoje jamani........
 
wadau nimepangiwa wilaya ya chunya mkoa wa mbeya kwa wanaopahamu mazingira yakoje jamani........

Mkuu kuna sehemu zipo huko CHUNYA ni hatari sana,wewe na wanyama pori tu,yaani kuufutwa mtandao wa simu ni takribani mail 30,kwenda benki au mjini kiujumla ni takribani mail 100. Ila ukipangiwa Mkwajuni,matundasi, Makorongosi,Lupa na Chunya mjini huko ni kuzuri kiasi. Lakini yote ya yote ni Tanzania moja,usipuuze maeneo,ajira ngumu sana. Kila la kheri teacher.
 
kawetele ,chalangwa mbugani,kiwanja chunya mjini tunakuwekea lami mwalimu hutalipatena nauli kubwa
 
jifunze kusalimia kwa kushika mkono hata mtu usiyemjua. ndo kazi yao huko mby
 
hiyo kawatele ni kijiji cha huko chunya nina ndugu anafanya kazi maliasili hapo na anaishi mbeya mjini
 
vyumba vya kupanga ni shilingi ngapi? unaweza ishi mbeya mjini na kufanya kazi chunya nauli ni sh ngapi kuna km ngap kutoka chunya hadi mjin, hospitali zipoje?
 
vyumba vya kupanga ni shilingi ngapi? unaweza ishi mbeya mjini na kufanya kazi chunya nauli ni sh ngapi kuna km ngap kutoka chunya hadi mjin, hospitali zipoje?
Wewe wilaya za mbeya si kama za dar unatumia mia nne kutoka ilala kwenda kinondoni,kule pesa ndefu huwezi kaa mbeya mjini then kazi ukafanye chunya nadhani nauli saiz inaweza ikawa elf kumi na mbili mpaka na tano,nenda chunya kuzuri tu mbona
 
Back
Top Bottom