Ambaye amekuwa certified na isaca certified information system audit(cisa) naombeni msaada

faru joni

JF-Expert Member
Dec 21, 2016
478
733
Habarini za masiku mengi ndugu zangu, naombeni aliyefanya kazi kwenye iyo industry ya INFORMATION SYSTEM AUDIT na ambaye amekuwa certified na iyo industry aje PM anisaidie kimawazo/ ki ushauri.

Asanteni sana ndugu zangu.
 
mimi najua tu gamba lake kulipata ni kama milioni 3 au zaidi ...
ila kibongobongo ada inaenda mpaka laki 5 na wanakupa cheti cha kuonyesha umesoma ila sio certified kabisa mpaka upigie zile paper zao...

mimi mwenyewe naitamani niisome
 
Back
Top Bottom