britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Ndiyo
Ndiyo
Ngoja niwahi siti,Mimi nilimtongoza rafiki wa mama watoto wangu halafu akaenda kumchana live,nilikuwa mdogo kama bajeti ya ccm
Ndiyo
HahahahaAlafu mnajikta mmefall kwenye pendhi dhito...mmeclick mbaya..hahaha...
Ngoja niwahi siti,Mimi nilimtongoza rafiki wa mama watoto wangu halafu akaenda kumchana live,nilikuwa mdogo kama bajeti ya ccm
KabisaKwa stly hiyo nilishapata mmoja maishan mwangu mpaka hapa nilipo
Kweli, Watu wanataka kumtongoza kwa njia ya kawaida. Huyu haumtongozi direct, unaenda nae taratibu mpaka anatoa mzigo na ndipo mnakuwa wapenziRafiki wa karibu hatongozwi, anaombwa mzigo kwa condition ya kuwa siri, taratibu taratibu unamweka kwenye mstari manengelo
KabisaKweli, Watu wanataka kumtongoza kwa njia ya kawaida. Huyu haumtongozi direct, unaenda nae taratibu mpaka anatoa mzigo na ndipo mnakuwa wapenzi
Baada ya hapo tukapotezana zaidi ya miaka 10,nimekuja kumuona kwenye mtandao tu,na anaelekea kuzeeka sasa.Vipi mliendelea kuwa mabest au ndo byee
hii point ndo imenisaidia sana,nlikua sitongoz.nlikua nachochea urafik ad unakolea mwisho wa sku namlazmisha getho baada ya gem ananichukia na kununa zaid ya week.baada ya apo anarud kwangu kwa Kas ya 250 GB na kuniita hubbyRafiki wa karibu hatongozwi, anaombwa mzigo kwa condition ya kuwa siri, taratibu taratibu unamweka kwenye mstari manengelo
Ha ha ha ha ,,,,,dah mkuu umevunja saan ikawajeNgoja niwahi siti,Mimi nilimtongoza rafiki wa mama watoto wangu halafu akaenda kumchana live,nilikuwa mdogo kama bajeti ya ccm
Mistari ilimuingia kimy kimy nn?Aliyenipa ban socondary ndo mke wangu sasa hv
Hahaha kabisahii point ndo imenisaidia sana,nlikua sitongoz.nlikua nachochea urafik ad unakolea mwisho wa sku namlazmisha getho baada ya gem ananichukia na kununa zaid ya week.baada ya apo anarud kwangu kwa Kas ya 250 GB na kuniita hubby
Ngoja niwahi siti,Mimi nilimtongoza rafiki wa mama watoto wangu halafu akaenda kumchana live,nilikuwa mdogo kama bajeti ya ccm
Kanatoa uzoefu wa kuachwa, lakini rafiki ni wa kutengenezea mazingira ya kumegwa tuKana nn mkuu