Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,024
- 28,200
Heshima zenu wakuu,
Ni kama juzi tu ila siku zimeyoyoma, ilikuwa mwezi Juni kama sijasahau ikawa agizo la kukamilisha usajili ni hadi Disemba 31 mwaka huu watu wewee utasema tumeshinda bingo.
Siku hazigandi na sasa spidi imeongezeka, na kadri siku zinavyosonga naona ‘vitisho’ vinazidi. Hivi ni kweli hawa jamaa wako ‘siriazi’ au tusubiri kuona watatufanya nini?
Onyo: Laini yako itafungwa baada ya 31/12/2019 ikiwa haikusajiliwa kwa alama za vidole. Tembelea duka la Tigo au wakala ukiwa na namba ya nida au kitambulisho.
Na wengine mnaopata ujumbe kama huu, sababu ipi imekukwamisha au jeuri?
Ni kama juzi tu ila siku zimeyoyoma, ilikuwa mwezi Juni kama sijasahau ikawa agizo la kukamilisha usajili ni hadi Disemba 31 mwaka huu watu wewee utasema tumeshinda bingo.
Siku hazigandi na sasa spidi imeongezeka, na kadri siku zinavyosonga naona ‘vitisho’ vinazidi. Hivi ni kweli hawa jamaa wako ‘siriazi’ au tusubiri kuona watatufanya nini?
Onyo: Laini yako itafungwa baada ya 31/12/2019 ikiwa haikusajiliwa kwa alama za vidole. Tembelea duka la Tigo au wakala ukiwa na namba ya nida au kitambulisho.
Na wengine mnaopata ujumbe kama huu, sababu ipi imekukwamisha au jeuri?