Amazon FBA

Amazon FBA

Daktari wa Manchester

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2020
Posts
350
Reaction score
405
Kama kichwa Cha habari hapoo juu kivyoeleza hivi Kuna mtu amaesha wah fanya Amazon FBA humu au kwa Tanzania 🇹🇿 inawezekana

FB_IMG_16381879979185811.jpg
 
Fafanua mkuu, Amazon FBA ndo nini ?
.
FBA kirefu fulfilled by Amazon , ni platform ambayo unakuwa Amazon seller yani unaanzisha account Yako ambayo utauza vitu kupitia kampuni ya Jeff beZos Amazon , kupitia FBA unaagiza product zake unazouza ziende hapa Amazon store ambapo hizoo product zako zitahifadhiwa ila Kuna cost zake pia
 
Yan hii fursa inaniumiza kichwa sana.Sijui tunakwama wapi labda mtu wa nnje asajili account alaf uifanyie kazi ,vinginevyo haiwezekani
 
Back
Top Bottom