Amazing in Ruaha Park

Amazing in Ruaha Park

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
16864037_1341639542561484_6585606757711971360_n.jpg
 
16711865_1336919869700118_6820701163450952528_n.jpg

Katoto ka swala kakiwa kametulia ili kapewe tiba na ndege. Ndege husaidia kutoa wadudu kama kupe kwa wanyama na kupe ni CHAKULA CHA NDEGE
 
16708561_1336448256413946_1872027058744477268_n.jpg

Mungu kaumba duniani na maajabu yake. Kila kiumbe kina namna yake ya kujilinda na kuishi.

Anaitwa Hondohondol....hapa anahangaika namna ya kumla kobe.

Ataweza?
 
16711865_1336919869700118_6820701163450952528_n.jpg

Katoto ka swala kakiwa kametulia ili kapewe tiba na ndege. Ndege husaidia kutoa wadudu kama kupe kwa wanyama na kupe ni CHAKULA CHA NDEGE
Kweli Mungu ni mkuu tazama mnyama asiye na mikono wala uwezo wa kuomba msaada atolewe papasi sikioni kapewa msaidizi na rafiki wa kumtolea kupe.
 
Amavubi kuanzia leo nakuita Chief Park Warden au Mhifadhi Mkuu! hongera sana na picha tamu sana!
 
ivi wakuu mlishawai kufikiria Mungu alivyo fundi!!! yani kuna wanyama wengine ukiwaangalia lazima ujiulize maswali kidogo.
 
Back
Top Bottom