kinyume chaMweeh mbona k lyn bado yupo fit na kajizalia mapacha wake freesh kabisa na mzee machache.
Mweeh mbona k lyn bado yupo fit na kajizalia mapacha wake freesh kabisa na mzee machache.
Una visa ndugu!! We umeshaambiwa Mzee Machache badala yake unaanza kutafuta kinyume chake, ili iweje? Kwahiyo ndo unataka kutuambia amezaa na Mzee Mengi, au?!!!??!!!@@$$&^!kinyume cha Machache ni Mengi sijui nimepatia Lol!
Una visa ndugu!! We umeshaambiwa Mzee Machache badala yake unaanza kutafuta kinyume chake, ili iweje? Kwahiyo ndo unataka kutuambia amezaa na Mzee Mengi, au?!!!??!!!@@$$&^!
hahahaaaaa,mkuu wanaitwa mama na baba mapacha ndio ivo tena lol!Una visa ndugu!! We umeshaambiwa Mzee Machache badala yake unaanza kutafuta kinyume chake, ili iweje? Kwahiyo ndo unataka kutuambia amezaa na Mzee Mengi, au?!!!??!!!@@$$&^!
kinyume cha
Machache ni Mengi sijui nimepatia Lol!
yah! Lipo wazi hilo, nilikuwa namzingua tu mkuu bysange!anachomaanisha....liyumba aligonga kylin kabla kylin hajaolewa na mengi
anachomaanisha....liyumba aligonga kylin kabla kylin hajaolewa na mengi
Hi guys!
Yule fisadi wa BOT aliekuwa akigawa gari nyekundu kwa ma miss na madazetu na kufanya wengine kuogopa hata kwenda kupima kutokanan na mawzo hivi jana alianguka akiwa kazini akisuburi kupangiwa nafasi nyingine...
Kwa wale wenye ndugu BOT mnaweza nyonya data zaidi tumwagie. Ninachofahamu alielekea hospital ya Aghakhan na baadae kuruhusiwa, kutokana na pressure na kisukari.
Mie "chichemi"
na mimi mni PM
asanteni
Mweeh mbona k lyn bado yupo fit na kajizalia mapacha wake freesh kabisa na mzee machache.
Pdidy kumbe we ni wa long time jf