Amatus Liyumba: Balaa!

Mweeh mbona k lyn bado yupo fit na kajizalia mapacha wake freesh kabisa na mzee machache.
 
Mweeh mbona k lyn bado yupo fit na kajizalia mapacha wake freesh kabisa na mzee machache.
kinyume cha Machache ni Mengi sijui nimepatia Lol!
Una visa ndugu!! We umeshaambiwa Mzee Machache badala yake unaanza kutafuta kinyume chake, ili iweje? Kwahiyo ndo unataka kutuambia amezaa na Mzee Mengi, au?!!!??!!!@@$$&^!
 
Una visa ndugu!! We umeshaambiwa Mzee Machache badala yake unaanza kutafuta kinyume chake, ili iweje? Kwahiyo ndo unataka kutuambia amezaa na Mzee Mengi, au?!!!??!!!@@$$&^!

anachomaanisha....liyumba aligonga kylin kabla kylin hajaolewa na mengi
 
Una visa ndugu!! We umeshaambiwa Mzee Machache badala yake unaanza kutafuta kinyume chake, ili iweje? Kwahiyo ndo unataka kutuambia amezaa na Mzee Mengi, au?!!!??!!!@@$$&^!
hahahaaaaa,mkuu wanaitwa mama na baba mapacha ndio ivo tena lol!
 
Hi guys!

Yule fisadi wa BOT aliekuwa akigawa gari nyekundu kwa ma miss na madazetu na kufanya wengine kuogopa hata kwenda kupima kutokanan na mawzo hivi jana alianguka akiwa kazini akisuburi kupangiwa nafasi nyingine...

Kwa wale wenye ndugu BOT mnaweza nyonya data zaidi tumwagie. Ninachofahamu alielekea hospital ya Aghakhan na baadae kuruhusiwa, kutokana na pressure na kisukari.

Mie "chichemi"

Pdidy kumbe we ni wa long time jf
 
Unakuta watu km hao walaaa ukimwi hauwafuati,ila wewe umejitunza uko...unachepuka kidogo tu once na unaupata lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom