Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 75,138
- 157,076
Huu ni mwaka wa kwanza tangu tumepata Uhuru kushuhudia Mwenge ukiwa umezimwa na kufungiwa huko unakokaa.
Rais wetu mwema Sana H. E. John Pombe Magufuli aliamuru tusikimbize mwenge ili tupambane na adui aliye washinda wengi CoronaVirus COVID-19. Hakika brother COVID-19 tulimgaragaza mapema tofauti na matarajio ya nchi hisani za kimagaribi walivyotarajia.
Miongoni mwa sababu za kukimbiza mwenge Ni kwamba mwenge unaleta amani nchini. Hakika taifa letu limekuwa kitovu na kisiwa Cha amani kwa miongo mingi.
Swali langu kwenu wana jamii, je Kuna umuhimu wowote wa kuendelea na mbio za mwenge Kama tu mwaka huu hatuujakimbiza na hamna uasi, Vita wala fujo zilizotokea?
Isaya 50:11
Rais wetu mwema Sana H. E. John Pombe Magufuli aliamuru tusikimbize mwenge ili tupambane na adui aliye washinda wengi CoronaVirus COVID-19. Hakika brother COVID-19 tulimgaragaza mapema tofauti na matarajio ya nchi hisani za kimagaribi walivyotarajia.
Miongoni mwa sababu za kukimbiza mwenge Ni kwamba mwenge unaleta amani nchini. Hakika taifa letu limekuwa kitovu na kisiwa Cha amani kwa miongo mingi.
Swali langu kwenu wana jamii, je Kuna umuhimu wowote wa kuendelea na mbio za mwenge Kama tu mwaka huu hatuujakimbiza na hamna uasi, Vita wala fujo zilizotokea?
Isaya 50:11