Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Naibu katibu Mkuu wa CHADEMA, Amani Gologwa amelitaka Jeshi la polisi kuacha kuwapangia cha kuzungumza kwani siasa ina luga zake ambazo ni tamu.
Aidha amelitaka jeshi kufanya majukumu yake ya msingi ikiwemo klinda raia, kufuatilia waliotekwa na kesi nyingine ikiwemo ya Lissu aliyepigwa risasi
Golugwa amesema wanaliheshimu na kutambua mchango wa polisi ila kama wataenda na mwendendo huo basi kuaminiana hakutokuwepo baina yao na polisi hivyo inaweza kupelekea shida hapo baadaye.
Aidha amelitaka jeshi kufanya majukumu yake ya msingi ikiwemo klinda raia, kufuatilia waliotekwa na kesi nyingine ikiwemo ya Lissu aliyepigwa risasi
Golugwa amesema wanaliheshimu na kutambua mchango wa polisi ila kama wataenda na mwendendo huo basi kuaminiana hakutokuwepo baina yao na polisi hivyo inaweza kupelekea shida hapo baadaye.