GE2025 Amani Golugwa: Tumemuandikia barua mkuu wa majeshi alisaidie taifa pawepo na uchunguzi ili taifa lijiridhishe tuhuma mfumo wa uchaguzi uliongiliwa

GE2025 Amani Golugwa: Tumemuandikia barua mkuu wa majeshi alisaidie taifa pawepo na uchunguzi ili taifa lijiridhishe tuhuma mfumo wa uchaguzi uliongiliwa

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,777
Akizungumza kupita Global TV Naibu katibu mkuu wa Chama Cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA Amani Golugwa amesema wamemuandikia barua mkuu wa majeshi nchini kumkumbusha kauli ya ya baba wa taifa kuhusu wajibu wa jeshi la wananchi kulinda katiba na mfumo wa vyama vingi.

"Tumemuandikia barua mkuu wa majeshi tukimwambia, tunaiona hatari katika nchi hii ya vita vya wenyewe kwa wenye iwapo tuhuma hii haitafanyiwa kazi, ya mfumo wa uchaguzi uliongiliwa, tumemuomba mkuu wa majeshi alisaidie taifa hili pawepo na uchunguzi ili uchaguzi usimamishwe kwanza ili taifa lijiridhishe na tuhuma ambayo kawa wa Chama Cha Mapinduzi ameiweka"



 
Mmmh sidhani kama kuna viashiria vya vita vya wenyewe kwa wenyewe huko sasa tutakuwa tumefika mbali ila naunga mkono
 
Akizungumza kupita Global TV Naibu katibu mkuu wa Chama Cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA Amani Golugwa amesema wamemuandikia barua mkuu wa majeshi nchini kumkumbusha kauli ya ya baba wa taifa kuhusu wajibu wa jeshi la wananchi kulinda katiba na mfumo wa vyama vingi.

"Tumemuandikia barua mkuu wa majeshi tukimwambia, tunaiona hatari katika nchi hii ya vita vya wenyewe kwa wenye iwapo tuhuma hii haitafanyiwa kazi, ya mfumo wa uchaguzi uliongiliwa, tumemuomba mkuu wa majeshi alisaidie taifa hili pawepo na uchunguzi ili uchaguzi usimamishwe kwanza ili taifa lijiridhishe na tuhuma ambayo kawa wa Chama Cha Mapinduzi ameiweka"


View attachment 3463595
Usikute ile MILIONI 100 ya yanga ndio inatumika kwenye “NYOMI MIGRATION” & kusafirisha wanafunzi kwenye mikutano.

#TUTAKUWEPO🫵🏾😎
FB_IMG_1756886098822.jpg
 
Mmmh sidhani kama kuna viashiria vya vita vya wenyewe kwa wenyewe huko sasa tutakuwa tumefika mbali ila naunga mkono
Wewe ndiye hujaliona hilo ila wenye upeo wa juu wameshaliona hilo...vita ya kundi moja na nyingine.
 
JWTZ- Jeshi la Wananchi Tanzania- Hivi hawa wananchi walioundiwa vikosi vya majeshi kulinda maslahi yao ni wa namna gani?

kila siku napitia ile hotuba ya Warioba kwamba wao JWTZ ni ndio chombo pekee chenye uadirifu, sasa sijajua huo ni uadirifu wa namna gani ikiwa tuhuma zinatolewa na kada wa CCM polepole kuwasanua na wao (wawakilishi wa wananchi) bado wako kimya.. au labda watapambana na wananchi wenyewe walio waweka hapo kuilinda hiyo katiba? JWTZ- toeni kauli mujibu hiyi baria ya CHADEMA. muda bado upo .
 
Jeshi limelimwa barua,safi sana
Ngoja tuone watasemaje,wakikaa kimya walimwe nyingine na video za wajenda wakisombwa kwenye nyomi migration
 
Usikute wanajeshi wanawekewa bando na kutumiwa link ili kuongeza viewers za mama,maana hali ni mbaya
 
Akizungumza kupita Global TV Naibu katibu mkuu wa Chama Cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA Amani Golugwa amesema wamemuandikia barua mkuu wa majeshi nchini kumkumbusha kauli ya ya baba wa taifa kuhusu wajibu wa jeshi la wananchi kulinda katiba na mfumo wa vyama vingi.

"Tumemuandikia barua mkuu wa majeshi tukimwambia, tunaiona hatari katika nchi hii ya vita vya wenyewe kwa wenye iwapo tuhuma hii haitafanyiwa kazi, ya mfumo wa uchaguzi uliongiliwa, tumemuomba mkuu wa majeshi alisaidie taifa hili pawepo na uchunguzi ili uchaguzi usimamishwe kwanza ili taifa lijiridhishe na tuhuma ambayo kawa wa Chama Cha Mapinduzi ameiweka"


View attachment 3463595
CHADEMA BADO MNA AKILI ZA KIPIMBI SANA SASA JESHI LINAINGILIAJE MABO YA UCHAGUZI SIYO KAZI YAKE HALAFU HIYO MIFUMO MNAYOLALAMIKA IMECHEZEWA KURA ZINAHESABIWA KWENYE MASANDUKU NA KUTANGAZWA HIYO MIFUMO INAHUSIKA NA NINI ? ACHNEB=NI UZWAZWA PIMBI NYIE
 
Akizungumza kupita Global TV Naibu katibu mkuu wa Chama Cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA Amani Golugwa amesema wamemuandikia barua mkuu wa majeshi nchini kumkumbusha kauli ya ya baba wa taifa kuhusu wajibu wa jeshi la wananchi kulinda katiba na mfumo wa vyama vingi.

"Tumemuandikia barua mkuu wa majeshi tukimwambia, tunaiona hatari katika nchi hii ya vita vya wenyewe kwa wenye iwapo tuhuma hii haitafanyiwa kazi, ya mfumo wa uchaguzi uliongiliwa, tumemuomba mkuu wa majeshi alisaidie taifa hili pawepo na uchunguzi ili uchaguzi usimamishwe kwanza ili taifa lijiridhishe na tuhuma ambayo kawa wa Chama Cha Mapinduzi ameiweka"


View attachment 3463595

GyKOivhXQAE3X-h.jpeg
 
Back
Top Bottom