GE2025 Amani Golugwa: Siku tukiwatoa Madarakani CCM, Chama kitakufa, wamezoea wanabebwa na dola

GE2025 Amani Golugwa: Siku tukiwatoa Madarakani CCM, Chama kitakufa, wamezoea wanabebwa na dola

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,777
"Siku tukiwatoa Madarakani CCM kwa jina la Mungu muumba wa majeshi hiki chama kitakufa kwa sababu wamelegealegea, wamezoea utepeutepe, wanabebwabebwa na dola, siku tukiwatoa na jinsi tulivyo na hasira kuijenga taifa hili, jinsi tulivyo na akili ya kutumia rasilimali za taifa hili itatuchukua miaka ishirini kuja kutuwaza tofauti" - Amani Gulugwa naibu katibu mkuu CHADEMA kupitia mahojiano na Global TV leo Septemba 03, 2025



 

Attachments

  • Golugwa 02.mp4
    33.6 MB
Hili liko wazi.
"Siku tukiwatoa Madarakani CCM kwa jina la Mungu muumba wa majeshi hiki chama kitakufa kwa sababu wamelegealegea, wamezoea utepeutepe, wanabebwabebwa na dola, siku tukiwatoa na jinsi tulivyo na hasira kuijenga taifa hili, jinsi tulivyo na akili ya kutumia rasilimali za taifa hili itatuchukua miaka ishirini kuja kutuwaza tofauti" - Amani Gulugwa naibu katibu mkuu CHADEMA kupitia mahojiano na Global TV leo Septemba 03, 2025
 
Unahitaji kuwa na roho ya Nelson Mandela kuwasamehe watesi wako.Bila hivyo huko mbele kunaweza kuwa kugumu kwa ccm na washirika wao
 
Unahitaji kuwa na roho ya Nelson Mandela kuwasamehe watesi wako.Bila hivyo huko mbele kunaweza kuwa kugumu kwa ccm na washirika wao

Na ndiyo maana wanakomaa. Muhimu kuwapa moyo maana hata Mandela alisamehe 6 x 60 japo kwa Winnie yalimshinda!
 
Namna ya kuwatoa ndiyo shughuli. Bila kuchapana na kuuana hawatatoka.
 
Back
Top Bottom