Amaizing love: Kijana amtolea shemeji yake figo

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Sep 16, 2015
25,557
45,872
Kuna jamaa mmoja maarufu tu hapa Bongo sitaki kumtaja hapa alioa mwaka jana mke wake alikuwa na matatizo ya figo, mdogo wa mume wake wa kiume yaani shemeji ndo kamtolea figo yake maskini. Hajadai chochote wanawake tulivo anaweza kupona halafu aje amuache kaka yao.

Siombei iwe hivo lakini.

JF MMU tunawaombea afya njema
 
duh dogo anaweza kuja kupiga kiulaini tu.. ila hongera kwa dogo hatuombei amuache kaka yake sababu itaumiza familia nzima
 
Atamrithi akifa kaka,maana wanaume waliooa kwa asilimia kubwa hufa mapema kabla ya wake zao.
 
Dah, Kwangu mimi mama alikataa mtu yeyote asitolewe figo tuache afe....nimekumbuka mbali
 
Back
Top Bottom