Pure Mathematics
Senior Member
- Mar 8, 2012
- 174
- 52
Nimeamini watu wamechoka ubabaishaji. Wanataka ukombozi. Ushahidi ni kwamba chit chatters' karibu wote wamehamia Meru East thru jukwaa la siasa..
.nachungulia tu...sitii neno kule...siasa imekaa kushoto...naogopa kupata kaugonjwa ka moyo!..
Hahahah hahahah,he he he, wanataka bansen bana za bure
mie kule ntaenda kwa greda tu
kwa hiari siendi kabisa
Hahahaaa Canta ni kweli....Hahahah hahahah,
Umenichekesha khaaaaaaaaaaa!
Mie hata kwa Greda kule siendi ng'oooooo!
Hahahaha hahahaha,Hahahaaa Canta ni kweli....
Ila Rejao pole yake maana kule hana chake ana sipoangalia wanamboa hadi adungwe bann....
Hureeeeeeeeeeeeeeeee
Nisharudi Chit-Chat maaana mambo ya Arumeru yalikuwa si mchezo