Samahani kina Dada lakini, hivi na huko chini ikulu kuna make up?
even mie napenda mwanamke kuwa natural tatizo wengi hawajikubal
huyu ni Tyra Banks......mweeeeee............
View attachment 67471 View attachment 67474 View attachment 67475
halafu mtu aniambie nisijipake......inahuuu.......
copy kwa : lara 1.. cacico... charminglady... sweetlady... Kongosho.. CUTE.... Erotica.... BADILI TABIA.... snowhite... Madame B.. farkhina.....na wengine wote......
huyu ni Tyra Banks......mweeeeee............
View attachment 67469
View attachment 67471View attachment 67475
halafu mtu aniambie nisijipake......inahuuu.......
copy kwa : lara 1.. cacico... charminglady... sweetlady... Kongosho.. CUTE.... Erotica.... BADILI TABIA.... snowhite... Madame B.. farkhina.....na wengine wote......
ngoja nitafute carolait mwee
kumbe mimi mzuri nikijiwezesha eeeh?
ipi hiyo jiki au omo?Shoga weee wala usiiache...waweza kuchanganya na dawa ya madoa ili ung'ae zaidi lol..
Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
ipi hiyo jiki au omo?
kwi kwi kwi kwiJiki shoga angu
Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
Shoga weee wala usiiache...waweza kuchanganya na dawa ya madoa ili ung'ae zaidi lol..
Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
na atupie tupinch tuwili twa Silex400......atang'aajeeeee......