Am So Happy to HaveYou My Dadiii.....

Am So Happy to HaveYou My Dadiii.....

Kasie

Platinum Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
22,801
Reaction score
43,177
Bado ni asubuhi na mchana unakaribia....

Wapendwa, najua wengine inawakera ila huku ndani ya mwili kunafukafuka kuna bubujika Mahaba hadi narukaruka tuu.

Msimu umenoga jamani, nasikia raha kama niko kwenye jaccuzi nachemka lakini siivi eeheheheheee. Likizo ndo imeanza, sikukuu ndo zinakuja, safari kedekede, tiketi ziko tayari, tumbo liko tayari, miguu ishavaa raba tayari kwa kila mwendo wa haraka haraka, polepole, mchakamchaka, kutembea, kukimbia yote mwendo.

Yaani naimba huku nacheza huku Ddadii amejaa kila mahali basi raha ndani ya roho...

To be honest I feel grateful to have my Dadii by my side. Na leo tena Ddadiii as usual, your Kaise always asks for some more. Ya jana ilikuwa tamuuuuu, na leo tenaa....



Dadii am so happy to have you...

Mmmuuaaah!!! Because am happy and happyness is the truth.

Come along and shake your legs if you know your happiness is you...

K' Matata.
 
Bado ni asubuhi na mchana unakaribia....

Wapendwa, najua wengine inawakera ila huku ndani ya mwili kunafukafuka kuna bubujika Mahaba hadi narukaruka tuu.

Msimu umenoga jamani, nasikia raha kama niko kwenye jaccuzi nachemka lakini siivi eeheheheheee. Likizo ndo imeanza, sikukuu ndo zinakuja, safari kedekede, tiketi ziko tayari, tumbo liko tayari, miguu ishavaa raba tayari kwa kila mwendo wa haraka haraka, polepole, mchakamchaka, kutembea, kukimbia yote mwendo.

Yaani naimba huku nacheza huku Ddadii amejaa kila mahali basi raha ndani ya roho...

To be honest I feel grateful to have my Dadii by my side. Na leo tena Ddadiii as usual, your Kaise always asks for some more. Ya jana ilikuwa tamuuuuu, na leo tenaa....



Dadii am so happy to have you...

Mmmuuaaah!!! Because am happy and happyness is the truth.

Come along and shake your legs if you know your happiness is you...

K' Matata.
K' Matata Again
 
K' Matata Again

Oooh yeah, Dadii for good

Dadii for life.

Nahemkwa Kasie mie jamani looh mwisho wa mwaka huu acha tuu Mahaba yamenikamata kisawasawa.

Am so happy to have my Dadiii...
 
Oooh yeah, Dadii for good

Dadii for life.

Nahemkwa Kasie mie jamani looh mwisho wa mwaka huu acha tuu Mahaba yamenikamata kisawasawa.

Am so happy to have my Dadiii...
Subiri ukipewa mimba utatulia
 
Subiri ukipewa mimba utatulia

Aaahahahahahahahaa sijui itakuwaje kila siku navuta picha.

Ila nahisi huyo chotara atapokamata kuta za tumbo la Kasie, vurugu itakuwa kubwa kuliko hii ya sasa.... yaani Mahaba yatakuwa elfu elfu sio mia mia tena hehehehee.
 
Aaahahahahahahahaa sijui itakuwaje kila siku navuta picha.

Ila nahisi huyo chotara atapokamata kuta za tumbo la Kasie, vurugu itakuwa kubwa kuliko hii ya sasa.... yaani Mahaba yatakuwa elfu elfu sio mia mia tena hehehehee.
Chotara akiingia Mzigua90 anachukua nafasi

Jokes
 
Bado ni asubuhi na mchana unakaribia....

Wapendwa, najua wengine inawakera ila huku ndani ya mwili kunafukafuka kuna bubujika Mahaba hadi narukaruka tuu.

Msimu umenoga jamani, nasikia raha kama niko kwenye jaccuzi nachemka lakini siivi eeheheheheee. Likizo ndo imeanza, sikukuu ndo zinakuja, safari kedekede, tiketi ziko tayari, tumbo liko tayari, miguu ishavaa raba tayari kwa kila mwendo wa haraka haraka, polepole, mchakamchaka, kutembea, kukimbia yote mwendo.

Yaani naimba huku nacheza huku Ddadii amejaa kila mahali basi raha ndani ya roho...

To be honest I feel grateful to have my Dadii by my side. Na leo tena Ddadiii as usual, your Kaise always asks for some more. Ya jana ilikuwa tamuuuuu, na leo tenaa....



Dadii am so happy to have you...

Mmmuuaaah!!! Because am happy and happyness is the truth.

Come along and shake your legs if you know your happiness is you...

K' Matata.
hahaha!
enjoy your holiday homie.
 
Chotara akiingia Mzigua90 anachukua nafasi

Jokes

Nafasi mbona iko wazi kila siku haisubiri chotara akamate kuta za tumbo la Kasie.

I know you are kidding, Kasie ni Matata....

Am so happy cause I know how to dance...

Am so happy cause Dadii is dancing with me....

Am so happy cause I feel the push....

Happy happy happy happy happy happy happy....

Am so happy that am a woman and I know how to smile...

K' Mahaba Matata.
 
hahaha!
enjoy your holiday homie.

Thank you homie, umekubali eeeh

Umekuwa mpole eehhh

aaahahahahahaa am so happy to have my Dadii by my side...

Am so happy to be on leave in this festive season...

Am so happy that everything is bam bam as set before...

Happy happy happy happy happy happy happy happy.....
 
Bado ni asubuhi na mchana unakaribia....

Wapendwa, najua wengine inawakera ila huku ndani ya mwili kunafukafuka kuna bubujika Mahaba hadi narukaruka tuu.

Msimu umenoga jamani, nasikia raha kama niko kwenye jaccuzi nachemka lakini siivi eeheheheheee. Likizo ndo imeanza, sikukuu ndo zinakuja, safari kedekede, tiketi ziko tayari, tumbo liko tayari, miguu ishavaa raba tayari kwa kila mwendo wa haraka haraka, polepole, mchakamchaka, kutembea, kukimbia yote mwendo.

Yaani naimba huku nacheza huku Ddadii amejaa kila mahali basi raha ndani ya roho...

To be honest I feel grateful to have my Dadii by my side. Na leo tena Ddadiii as usual, your Kaise always asks for some more. Ya jana ilikuwa tamuuuuu, na leo tenaa....



Dadii am so happy to have you...

Mmmuuaaah!!! Because am happy and happyness is the truth.

Come along and shake your legs if you know your happiness is you...

K' Matata.
Post zako hazina mvuto tena, ongeza ubunifu au labda umri wangu mdogo sanaa..!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom