pettymarcel
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,161
- 880
Habari zenu wakuu mimi ni mtanzania mwenye umri wa miaka 26 nimehitimu shahada ya kwanza ya jinsia na maendeleo katika chuo cha kumbukumbu ya mwalimu nyerere mwaka 2011, ninatafuta kazi tajwa hapo juu kwa yeyote mwenye kuweza kunisaidia japo kimawazo i will be very greatful thanx