Am introducing myself - Anna Maria Buberwa

Nimekuona mate, nikajua umejisoma.

Mimi nimejisoma kabisa, tena mistari ya English, nakumbuka nilichukua hadi dictionary nisikosee.
Ha ha ha mkuu ila mimi sijawahi kumtext na leo ndio nimeona ID yake
kakuzingua sana aisee ila mistari ile ya ngeli iko poa,yule wa mambo ya biblia sijui ni mjinga gani aisee
 
Ha ha ha mkuu ila mimi sijawahi kumtext na leo ndio nimeona ID yake
kakuzingua sana aisee ila mistari ile ya ngeli iko poa,yule wa mambo ya biblia sijui ni mjinga gani aisee

Hahaha, yaani nimejikuta nacheka sana kuiona ile mistari, nimesoma nikawa nahisi haya ni maneno yangu.

Kurudi kwenye archive sijaikuta, nadhani nilidelete convo.
 
Back
Top Bottom