Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 268,973
- 1,098,443
Aisee umenishinda tabia mara hii ushaidaka
Hahahahahhaaaaaaa.... Looooo... Pole swahiba....
Hahahahahhaaaaaaa.... Looooo... Pole swahiba....
Uwiii gudnite heee weee babu haufai jaman khaa picha gani hiyo jamani uwiiii hahahahaha
Sijadaka bhana.....
View attachment 602886
Hatari sana
Yule Gavana akinioona atanisweka in jail kabisa
Daaaahhh!!
Babu umenikumbusha mbali, hii tabia niliwahi kuifanya
Enzi hizo nachunga ng'ombe kwenye sehemu ambayo ya wazi halafu kuna mti mmoja hadi miwili, option ya kumaliza haja ilikuwa ni kupanda kwenye mti na kujificha kwenye matawi na kukata gogo taratibu kabisa huku likiangukia chini kivulini
Sasa babu unataka tuanzishe uzi wa waliowahi kusindikizana kukata gogo utotoni
Sasa babu unataka tuanzishe uzi wa waliowahi kusindikizana kukata gogo utotoni
Chole RdWhere in Oysterbay?
Msasani Rd, Kaunda Rd, Kenyatta Dr, Laibon St, Winding Ave, Karume Rd, Tumbawe Rd, Chaza Lane, Haile Selassie Rd, Bongoyo Rd, Mkwawa Rd, Uluguru Rd, Uganda Avenue, Guinea Avenue, Ally Bin Said Rd, Hill Rd (Yasser Arafat Rd)?
Damn, I still remember the streets off the top of my head!
You know, I thought about Chole Rd, but that is more Masaki, or are you referring to the Coco Beach side?Chole Rd
Babu nimekunyanyulia mikono hadi miguu
Babu nimekunyanyulia mikono hadi miguu
YesYou know, I thought about Chole Rd, but that is more Masaki, or are you referring to the Coco Beach side?
I am pretty proud of myself,i covered all the major streets of Obay.
There are some lanes and closes that still escape me though.