Youβre welcome ππ½ππ½ππ½
Karibuuu....
Kifikirishi tuu, English saa ingine nayo ina make ups nyingi looh.
Kama unataka kuendeleza maongezi laah sio kuondeleza ila kujibu majibizano aka conversation, mtu akisema you are welcomed unajibu thanks again maana kabla ya hapo inatanguliwa na thanks kisha you are welcomed then thanks again au you are welcomed too just like I love you, I love you too ....!!??
aaahahhahahahahaahaaaaaaa, akili za Kasie Matata sijui zinawaza nini...
AaahahahhahahaaaaaAaahahahhahahaaaaa hakyanani ntakutukana baadae, tusi langu pendwa.
Ila sijala kisamvu kitamboo....
Ndiyoo, nikutumie? Aahahahahahahaaa unanichokoza eehhh.
Nilipotea leo nilikuwa navumbua menu, Chief Matata.
So delicious.
Una haraka hehehehehee
Havijaiva bado, subirii.
Leo ntaweka picha hapa...
Aahahahhahaaa unapenda picha eeehhh....
Usijali, leo tutakula wote na ukjwa mvivu wa kula ntakulisha....
Kasinde.
ππππsifanyagi ajizi kwenye kulaπππnapenda msosi lakini misosi ya kwetu tu si haya majunk food sijui fries, pizza, etc. Hivyo vimenipitia kushoto.
Aahahahahaaa muone kwanza, wakati hivyo vyakula ndo vimekukuza.
Basi kuwa mpole, siku nikipika wali wa maua na nyama ya kusaga ntakurushia picha, leo sirushi tena picha maana nimepika sugar foods aahahahaha.
Matata K.
Ningekuzwa na haya majunk food ningeyapenda K. Huwa nawashangaa watu wanaotokwa udenda kwa vyakula hivyo. Siyo kwamba sili lakini ni kwa nadra sana mara nyingi ni ofisini.
Nakuelewa BAK,
Kuna samaki wanaitwa perege unawafahamu? (Anawezaungwa na Madhya au nazi)
Mboga ya majani inaitwa matembele unaifahamu? (Inatiwa ndimu)
Papa mkavu vipande vidogo vidogo ( huyu anaungwa na nazi)
Bamia na mlenda ( zinaungwa na karanga au nazi siku nyingine chukuchuku)
Nsansa na nswalu ( kinaungwa na karanga)
Maharage ya njano (yanaungwa na nazi au karanga au mafuta)
Ugali ndo chakula kikuu
Hivyo ndo vyakula vilivyonikuza. Oooh nilitaka kusahau utumbo wa ng'ombe unachanganywa na mchicha na kuungwa na nazi.
Hivi vingine English tuu, na huwa Napenda kujaribu mapishi mbalimbali najifunza, napenda kujifunza vitu vipya.
Matata K.
Ahaaaa! Now youβre talking hivyo vyote ndivyo vyakula vilivyonikuza. Hakuna hata kimoja hapo ambacho sijawahi kula tena mara nyingi.
Angalia sasa nimesema matembele, nsansa na nswelu akili yako inaanza kuzunguka na kutaka kumake conclusion ππππππilibidi uwe mtafiti wewe! Mlenda pia nakula lakini huo si mpenzi kihivyo ukilinganisha na hizo mboga nyingine za majani.
Aahahahahaaa yaani niko mtafiti mnoo, wacha niifanye kuwa sehemu ya kazi zangu hata kama ni part time, maana nilikuwa nafanya for fun.
Niko makini hasa nikiwa na multitask.
Kimeiva naandaa meza, nikimaliza ntakukaribisha.