Ndio nilichoamua sasa maana nitakufa kwa kihoro.Tafta mzee mwenzako u enjoy life loh.
Ndio nilichoamua sasa maana nitakufa kwa kihoro.Tafta mzee mwenzako u enjoy life loh.
Kama Baba ndani ya nyumba hatoi sapoti kwa Huyo mtoto na kwa mama... Kuna tofauti gani kati yake na single mother anayejikamua kuhudumia mwanae....Nimesoma Kwa uchungu I can feel your pain Dada pole Sana I hope hautakurukupa katika mamuzi na mwisho utafanya chaguo sahihi kwa ajili ya furaha na uhai wako kwa mda uliobakia hapa Dunia
This is worst situations unayopitia I ever seeen very bad
Nikupongeze sana Dada yangu kawa Kuwa na hofu ya mungu nanina amini hata hili litapita
Remember how about your baby
I'm not but vitu inajulikana tu
Nitakutafuta private unidokeze ile "other means". Huwezi jua naweza hitaji huko mbeleni 😀Ndio nilichoamua sasa maana nitakufa kwa kihoro.
nilishaapa maishani nitavumilia mwanaume Hali ngumu ya maisha,,, ameugua muda mrefu,, amepata ulemavu,, sijui amefutwa kazi,,sijui hazai yani Yale ambayo najua yako nje ya uwezo wake Ni kadari ya Mwenyezi Mungu lakini sio wa kipigo na kunikosesha amani ya moyo kwa sababu zake binafsi hata nimpende vipi narudia hata nimpende vipi kipigo Cha Mara ya kwanza msamaha tutaombana police Mara ya pili talaka ataitolea hukohuko police,,baba yangu hajawahi kunizaba kofi,,Wala Kaka zangu Wala walimu shuleni halafu atokee fala mmoja anizabue makofi mpaka kulazwa aisee ninavouthamini huu mwili wallah Sina msamaha Wala mswalie mtume,, halafu wanaume wapigaji na wanyanyasaji asilimia kubwa wanakuaga na upungufu wa nguvu za kiume ndo inapelekea kutojiamini wanaishia kunyanyasa wake zao na kuwa na wanawake wengi wa nje ili kuonesha uwanaume wao kumbe wanaishia kujidhalilisha na kujishushia heshima zao kwenye jamii..Ila dunia ya siku hizi wanawake wavumilivu wameisha that's why na ndoa hazifungwi sana siku hizi, mke akipigwa kofi tu akaomba ushauri utasikia "achana na huyo mbwa atakuja akuue, hama ukalee wanao "
Hapo Kuna Upendo? Kuna Ndoa kweli? Hata mipango ya maendeleo iko very parallel. Haiwezi kukutana. Hawawezi kukutana somewhere. Ndoa maana yake ni hii kweli? Unavumilia kwa kipi hasa kwa scenario Kama hii...Pole Sana,
Ndoa zina shida na raha,,upendo wa kweli hudhihirika wakati wa shida na mateso.
Je,tukiwapenda watupendao twafanya ziada gani?
Wapendeni wote,waombeeni wanaowaudhi.
Zidi kuomba,usichoke..
Ipo siku atabadilika,,,kuwa mwaminifu na msihi Mungu ambadilishe.
Nb: Sikushauri uvunje ndoa yako.
Unavumilia kulazwa hospitalini kwa kipigo cha mume kila baada ya miezi kadhaa. Hadi siku ambayo you will be beaten to death.Hapo Kuna Upendo? Kuna Ndoa kweli? Hata mipango ya maendeleo iko very parallel. Haiwezi kukutana. Hawawezi kukutana somewhere. Ndoa maana yake ni hii kweli? Unavumilia kwa kipi hasa kwa scenario Kama hii...
Wanawake tuliozaliwa kwenye hizi jamii zenye mtizamo hasi kwa jinsia ya kike tuna tabu kweli, ila yakikufika shingoni unakuwa jasiri, jamii itakunyooshea vidole lakini km ukiwa na haki Mungu hakuachi, manung'uniko yanapunguza baraka katika maisha,Kina Will jr wanaona hao wanaovumilia vipigo vya mbwa mwizi hadi kufia ndoani ndo "wake wema", sio hawa "kupigwa kofi tu wanaomba ushauri".
Bongo kuna viimani vya kijinga jinga sana; Eti mwanamke anaevumilia vipigo vya mume ndo mke mwema. What a backward, slaver-ish, msogynistic belief..!!
Kuvumilia kipigo SIO uke wema, bali ni ujinga, upumbavu na kujichimbia kaburi, na ukishakufa mwanaume anatafuta the next mjinga wa kumuoa na kumtandika... Ila eti analaumiwa mwanamke.shingoni
Daaahhh....!!!
Naona huruma sana. Kuna wanawake wanateseka sana sana huko ndani ya Dude linaloitwa NDOA.Unavumilia kulazwa hospitalini kwa kipigo cha mume kila baada ya miezi kadhaa. Hadi siku ambayo you will be beaten to death.
Ili uvikwe taji la "mke mwema" na misogynistic Tanzanians ukiwa kaburini.
What a shame..!!
Naona huruma sana. Kuna wanawake wanateseka sana sana huko ndani ya Dude linaloitwa NDOA.
Kina Will jr wanaona hao wanaovumilia vipigo vya mbwa mwizi hadi kufia ndoani ndo "wake wema", sio hawa "kupigwa kofi tu wanaomba ushauri".
Bongo kuna viimani vya kijinga jinga sana; Eti mwanamke anaevumilia vipigo vya mume ndo mke mwema. What a backward, slaver-ish, msogynistic belief..!!
Kuvumilia kipigo SIO uke wema, bali ni ujinga, upumbavu na kujichimbia kaburi, na ukishakufa mwanaume anatafuta the next mjinga wa kumuoa na kumtandika... Ila eti analaumiwa mwanamke.
Daaahhh....!!!
Kataa kuwa mtumwa wa vipigo visivyo na maana dada....
KumbeWanawake kuanzia 28 kwenda mbele libido inakua inaongezeka.
At 40 ndo inakua maximum kabisa, wana crave for mgegedo na kuenjoy balaa....!!! Wanawake wengi ambao wameshafika 50+ ukiwauliza at what age did they have the best sex life, most od them watakwambia from around 38-43 yrs!
Karibu sana dear Jamaa linajidai lina wivu kumbe liongo wakati yeye anajivinjari na vimwana mimi nakumbatia mto. Sasa natafuta mzee mwenzanguNitakutafuta private unidokeze ile "other means". Huwezi jua naweza hitaji huko mbeleni 😀
At 50, Bora kutulia ,utajivunjia heshima bure. Still uko kwenye ndoa jamii na watoto wako hawajui hiko kihoroNdio nilichoamua sasa maana nitakufa kwa kihoro.
Sasa ndoa gani hii?At 50, Bora kutulia ,utajivunjia heshima bure. Still uko kwenye ndoa jamii na watoto wako hawajui hiko kihoro